Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين 


عنْ أَبِي عبدِ اللَّه النُّعْمَانِ بْنِ بَشيِرٍ رضي اللَّه عنهما، قال: سمِعْتُ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يقولُ : « لَتُسَوُّنَّ صُفُوفَكُمْ أَوْ لَيُخَالِفَنَّ اللَّه بَيْنَ وُجُوهِكمْ »   متفقٌ عليه

وفي روايةٍ لِمْسلمٍ : كان رسولُ اللُّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يُسَوِّي صُفُوفَنَآ حَتَّى كأَنَّمَا يُسَوي بِهَا الْقِداحَ حَتَّى إِذَا رأَى أَنَّا قَدْ عَقَلْنَا عَنْهُ ثُمَّ خَرَجَ يَوماً ، فقامَ حتَّى كَادَ أَنْ يكبِّرَ ، فَرأَى رجُلا بادِياً صدْرُهُ فقالَ : « عِبادَ اللَّه لَتُسوُّنَّ صُفوفَكُمْ أَوْ لَيُخَالِفَنَّ اللَّه بيْن وُجُوهِكُمْ »


Kutoka kwa Abuu ‘Abdillaah, An-Nu’maan bin Bashiyr  Radhi za Allah ziwe juu yake Nilimsikia Mtume akisema: [Wa-Allaahi mtazisawazisha safu zenu au Mwenyezi Mungu Atazibadilisha nyuso zenu]    [Imepokea na Bukhari na Muslim] 

Na katika Riwaya nyingine ya Muslim imesema:

alikuwa Mtume ﷺ  akizisawazisha safu kana kwamba alikuwa anasawazisha kwazo mshale, mpaka alipo tuona tumelifahamu hilo. Kisha siku moja akatoka, akasimama hata alipokaribia kupiga Takbiri, akamuona mtu kifua chake kimetokeza, akasema: [Enyi waja wa Mwenyezi Mungu, mtasawazisha safu zenu au Mwenyezi Mungu Atazibadilisha nyuso zenu]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668234
TodayToday7997
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 319

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f62b0e4518677744271777434466
title_69f17f62b0e972974573991777434466
title_69f17f62b0ee83360965181777434466

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f62b155f21467551131777434466
title_69f17f62b15ae9567158311777434466
title_69f17f62b15fb11982571861777434466 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com