Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين 


عنْ أَبِي عبدِ اللَّه النُّعْمَانِ بْنِ بَشيِرٍ رضي اللَّه عنهما، قال: سمِعْتُ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يقولُ : « لَتُسَوُّنَّ صُفُوفَكُمْ أَوْ لَيُخَالِفَنَّ اللَّه بَيْنَ وُجُوهِكمْ »   متفقٌ عليه

وفي روايةٍ لِمْسلمٍ : كان رسولُ اللُّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يُسَوِّي صُفُوفَنَآ حَتَّى كأَنَّمَا يُسَوي بِهَا الْقِداحَ حَتَّى إِذَا رأَى أَنَّا قَدْ عَقَلْنَا عَنْهُ ثُمَّ خَرَجَ يَوماً ، فقامَ حتَّى كَادَ أَنْ يكبِّرَ ، فَرأَى رجُلا بادِياً صدْرُهُ فقالَ : « عِبادَ اللَّه لَتُسوُّنَّ صُفوفَكُمْ أَوْ لَيُخَالِفَنَّ اللَّه بيْن وُجُوهِكُمْ »


Kutoka kwa Abuu ‘Abdillaah, An-Nu’maan bin Bashiyr  Radhi za Allah ziwe juu yake Nilimsikia Mtume akisema: [Wa-Allaahi mtazisawazisha safu zenu au Mwenyezi Mungu Atazibadilisha nyuso zenu]    [Imepokea na Bukhari na Muslim] 

Na katika Riwaya nyingine ya Muslim imesema:

alikuwa Mtume ﷺ  akizisawazisha safu kana kwamba alikuwa anasawazisha kwazo mshale, mpaka alipo tuona tumelifahamu hilo. Kisha siku moja akatoka, akasimama hata alipokaribia kupiga Takbiri, akamuona mtu kifua chake kimetokeza, akasema: [Enyi waja wa Mwenyezi Mungu, mtasawazisha safu zenu au Mwenyezi Mungu Atazibadilisha nyuso zenu]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668239
TodayToday927
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 28

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866c764d455310267011401751566180
title_6866c764d46446349341191751566180
title_6866c764d472d8948717831751566180

NISHATI ZA OFISI

title_6866c764d5d217569551671751566180
title_6866c764d5e0612027847291751566180
title_6866c764d5ee49933630701751566180 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com