Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين 


عَنْ أَبِي نَجِيحٍ الْعِرْباضِ بْنِ سَارِيَة رضي اللَّه عنه قال : وَعَظَنَا رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم مَوْعِظَةً بليغةً وَجِلَتْ مِنْهَا الْقُلُوبُ وَذَرَفَتْ مِنْهَا الْعُيُون ، فقُلْنَا : يا رَسولَ اللَّه كَأَنَهَا موْعِظَةُ مُوَدِّعٍ فَأَوْصِنَا . قال : « أُوصِيكُمْ بِتَقْوى اللَّه، وَالسَّمْعِ وَالطَّاعَةِ وإِنْ تَأَمَّر عَلَيْكُمْ عَبْدٌ حبشيٌ ، وَأَنَّهُ مَنْ يَعِشْ مِنْكُمْ فَسَيرى اخْتِلافاً كثِيرا . فَعَلَيْكُمْ بسُنَّتي وَسُنَّةِ الْخُلُفَاءِ الرَّاشِدِينَ الْمَهْدِيِّينَ ، عضُّوا عَلَيْهَا بالنَّواجِذِ ، وإِيَّاكُمْ ومُحْدثَاتِ الأُمُورِ فَإِنَّ كُلَّ بِدْعَةٍ ضلالَةٌ »    رواه أبو داود ، والترمذِي وقال حديث حسن صحيح


Kutoka kwa Abuu Najiyh Al-‘Irbaadh bin Saariyah Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: alitupa sisi Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ mawaidha mazito (yenye maana makubwa), nyonyo zikaingia khofu na macho  yakabubujikwa na machozi. Tukamwambia: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, inaonekana kana kwamba haya mawaidha ni yakutuaga, basi tuusie. Akasema: [Nawausia kumcha Mwenyezi Mungu, na kusikiliza na kutii, hata kama mkiongozwa na mtumwa mhabeshi. Hakika atakayeishi umri mrefu miongoni mwenu ataona khitilafu nyingi. Kwa hivyo ninyi shikamaneni na Sunna zangu na Sunna za  Makhalifa waongofu wenye kuongoza. Ishikilieni (Sunna) kwa magego. Na tahadharini mambo yenye kuzushwa,(katika Dini) hakika kila lenye kuzuliwa ni upotevu.]   [Abuu Dawud na At-Tirmidhy, na amesema: Hadithi hii ni Hasan Sahih]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6572837
TodayToday904
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68286729bb65e14701711191747478313
title_68286729bb82a7431667881747478313
title_68286729bb98310186285071747478313

NISHATI ZA OFISI

title_6828672eec34e17561711831747478318
title_6828672eec4e13856137841747478318
title_6828672eec63816670373131747478318 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com