Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين 


عَنْ أَبِي نَجِيحٍ الْعِرْباضِ بْنِ سَارِيَة رضي اللَّه عنه قال : وَعَظَنَا رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم مَوْعِظَةً بليغةً وَجِلَتْ مِنْهَا الْقُلُوبُ وَذَرَفَتْ مِنْهَا الْعُيُون ، فقُلْنَا : يا رَسولَ اللَّه كَأَنَهَا موْعِظَةُ مُوَدِّعٍ فَأَوْصِنَا . قال : « أُوصِيكُمْ بِتَقْوى اللَّه، وَالسَّمْعِ وَالطَّاعَةِ وإِنْ تَأَمَّر عَلَيْكُمْ عَبْدٌ حبشيٌ ، وَأَنَّهُ مَنْ يَعِشْ مِنْكُمْ فَسَيرى اخْتِلافاً كثِيرا . فَعَلَيْكُمْ بسُنَّتي وَسُنَّةِ الْخُلُفَاءِ الرَّاشِدِينَ الْمَهْدِيِّينَ ، عضُّوا عَلَيْهَا بالنَّواجِذِ ، وإِيَّاكُمْ ومُحْدثَاتِ الأُمُورِ فَإِنَّ كُلَّ بِدْعَةٍ ضلالَةٌ »    رواه أبو داود ، والترمذِي وقال حديث حسن صحيح


Kutoka kwa Abuu Najiyh Al-‘Irbaadh bin Saariyah Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: alitupa sisi Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ mawaidha mazito (yenye maana makubwa), nyonyo zikaingia khofu na macho  yakabubujikwa na machozi. Tukamwambia: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, inaonekana kana kwamba haya mawaidha ni yakutuaga, basi tuusie. Akasema: [Nawausia kumcha Mwenyezi Mungu, na kusikiliza na kutii, hata kama mkiongozwa na mtumwa mhabeshi. Hakika atakayeishi umri mrefu miongoni mwenu ataona khitilafu nyingi. Kwa hivyo ninyi shikamaneni na Sunna zangu na Sunna za  Makhalifa waongofu wenye kuongoza. Ishikilieni (Sunna) kwa magego. Na tahadharini mambo yenye kuzushwa,(katika Dini) hakika kila lenye kuzuliwa ni upotevu.]   [Abuu Dawud na At-Tirmidhy, na amesema: Hadithi hii ni Hasan Sahih]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887174
TodayToday307
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 43

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba8455fcb316360748451782294597
title_6a3ba8455fd0458445491782294597
title_6a3ba8455fd524465404741782294597

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba84560362933886211782294597
title_6a3ba845603b011547753501782294597
title_6a3ba845603fc11106067981782294597 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com