Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين 


عَنْ أَبِي نَجِيحٍ الْعِرْباضِ بْنِ سَارِيَة رضي اللَّه عنه قال : وَعَظَنَا رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم مَوْعِظَةً بليغةً وَجِلَتْ مِنْهَا الْقُلُوبُ وَذَرَفَتْ مِنْهَا الْعُيُون ، فقُلْنَا : يا رَسولَ اللَّه كَأَنَهَا موْعِظَةُ مُوَدِّعٍ فَأَوْصِنَا . قال : « أُوصِيكُمْ بِتَقْوى اللَّه، وَالسَّمْعِ وَالطَّاعَةِ وإِنْ تَأَمَّر عَلَيْكُمْ عَبْدٌ حبشيٌ ، وَأَنَّهُ مَنْ يَعِشْ مِنْكُمْ فَسَيرى اخْتِلافاً كثِيرا . فَعَلَيْكُمْ بسُنَّتي وَسُنَّةِ الْخُلُفَاءِ الرَّاشِدِينَ الْمَهْدِيِّينَ ، عضُّوا عَلَيْهَا بالنَّواجِذِ ، وإِيَّاكُمْ ومُحْدثَاتِ الأُمُورِ فَإِنَّ كُلَّ بِدْعَةٍ ضلالَةٌ »    رواه أبو داود ، والترمذِي وقال حديث حسن صحيح


Kutoka kwa Abuu Najiyh Al-‘Irbaadh bin Saariyah Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: alitupa sisi Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ mawaidha mazito (yenye maana makubwa), nyonyo zikaingia khofu na macho  yakabubujikwa na machozi. Tukamwambia: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, inaonekana kana kwamba haya mawaidha ni yakutuaga, basi tuusie. Akasema: [Nawausia kumcha Mwenyezi Mungu, na kusikiliza na kutii, hata kama mkiongozwa na mtumwa mhabeshi. Hakika atakayeishi umri mrefu miongoni mwenu ataona khitilafu nyingi. Kwa hivyo ninyi shikamaneni na Sunna zangu na Sunna za  Makhalifa waongofu wenye kuongoza. Ishikilieni (Sunna) kwa magego. Na tahadharini mambo yenye kuzushwa,(katika Dini) hakika kila lenye kuzuliwa ni upotevu.]   [Abuu Dawud na At-Tirmidhy, na amesema: Hadithi hii ni Hasan Sahih]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668224
TodayToday912
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 30

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866c764d455310267011401751566180
title_6866c764d46446349341191751566180
title_6866c764d472d8948717831751566180

NISHATI ZA OFISI

title_6866c764d5d217569551671751566180
title_6866c764d5e0612027847291751566180
title_6866c764d5ee49933630701751566180 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com