Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن جابر رضي الله عنْهُ قالَ : أَراد بنُو سَلِمَة أَن ينْتَقِلوا قُرْبَ المَسْجِدِ فبلَغَ ذلك رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم ، فَقَالَ لَهُمْ : « إِنَّه قَدْ بَلَغَنِي أَنَّكُمْ تُرِيدُونَ أَنْ تَنْتَقِلُوا قُربَ الْمَسْجِدِ ؟ » فَقَالُوا : نَعَمْ يا رسولَ اللَّهِ قَدْ أَرَدْنَا ذلكَ ، فَقالَ : « بَنِي سَلِمةَ ديارَكُمْ ، تكْتبْ آثَارُكُمْ ، دِياركُم ، تُكْتَبْ آثارُكُمْ »   رواه مسلم

وفي روايةٍ : « إِنَّ بِكُلِّ خَطْوةٍ درجةً »  رواه مسلم . ورواه البخاري أيضاً بِمعنَاهُ مِنْ روايةِ أَنَسٍ رضي اللَّه عنه
و « بنُو سَلِمَةَ » بكسر اللام : قبيلة معروفة من الأَنصار رضي اللَّه عنهم ، و «آثَارُهُمْ» خُطاهُمْ


Kutoka kwa Jaabir Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: [ Watu wa kabila la Banu Salimah walitaka kuhamia karibu na Masjid. Habari hiyo ilimfikia Mtume ﷺ. Akawauliza: [Nimesikia kuwa mnataka kuhamia karibu na Msikiti.] Wakajibu: Ndio Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, tumetaka kufanya hivyo. Akawaambia: [Enyi Banu Salimah, kaeni huko huko majumbani mwenu (msihame), hatua zenu zinaandikwa, kaeni huko huko hatua zenu zinaandikwa.]    [Imepokewa na Muslim]

Na katika Riwaaya nyingine imesema: [Hakika katika kila hatua kuna daraja.]    Imepokewa na Muslim na Vile vile imepokewa na Bukhari kwa Maana hii kwa upokezi kutoka kwa Anas radhi za Allah ziwe juu yake.


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668231
TodayToday7994
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 331

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f5397eb717394681071777434451
title_69f17f5397f0913114971211777434451
title_69f17f5397f5718745054511777434451

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f539865321286723591777434451
title_69f17f53986a316560878281777434451
title_69f17f53986f110445015181777434451 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com