BUSTANI YA WATU WEMA
عن أَبِي هريرة رضي اللَّه عنْه قالَ : قَال رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « منْ توضَّأ فأحَسَنَ الْوُضُوءَ ، ثُمَّ أتَى الْجُمعةَ ، فَاستمع وأنْصتَ ، غُفِر لَهُ ما بيْنَهُ وبيْنَ الْجُمعةِ وزِيادةُ ثَلاثَةِ أيَّامٍ ، ومَنْ مسَّ الْحصا فَقد لَغَا » رواه مسلم
Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake amesma: Mtume ﷺ Amesema: [Atakayetawadha vizuri kisha akaenda katika Swala ya Ijumaa, akasikiliza (Khutba) na akaipulika; atasamehewa baina ya Ijumaa hiyo na Ijumaa nyingine na ziada ya siku tatu, na atakayepangusa vijiwe ameshafanya upuuzi.] [Imepokewa na Muslim]
![]() | Today | 1711 |
Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.