Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أَبِي هريرة رضي اللَّه عنْه قالَ : قَال رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « منْ توضَّأ فأحَسَنَ الْوُضُوءَ ، ثُمَّ أتَى الْجُمعةَ ، فَاستمع وأنْصتَ ، غُفِر لَهُ ما بيْنَهُ وبيْنَ الْجُمعةِ وزِيادةُ ثَلاثَةِ أيَّامٍ ، ومَنْ مسَّ الْحصا فَقد لَغَا »     رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake amesma: Mtume  Amesema: [Atakayetawadha vizuri kisha akaenda katika Swala ya Ijumaa, akasikiliza (Khutba) na akaipulika; atasamehewa baina ya Ijumaa hiyo na Ijumaa nyingine na ziada ya siku tatu, na atakayepangusa vijiwe ameshafanya upuuzi.]      [Imepokewa na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887175
TodayToday308
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 62

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba86e9859515722258471782294638
title_6a3ba86e985e47646131291782294638
title_6a3ba86e9862f12890108731782294638

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba86e98bb34860092851782294638
title_6a3ba86e98c0021265425571782294638
title_6a3ba86e98c4d1453010981782294638 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com