Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أَبِي هريرة رضي اللَّه عنْهُ عن النبي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « لَقَد رأَيْتُ رَجُلاً يَتَقَلَّبُ فِي الْجنَّةِ فِي شَجرةٍ قطَعها مِنْ ظَهْرِ الطَّريقِ كَانَتْ تُؤْذِي الْمُسلِمِينَ » . رواه مسلم

وفي رواية : « مرَّ رجُلٌ بِغُصْنِ شَجرةٍ عَلَى ظَهْرِ طرِيقٍ فَقَالَ : واللَّهِ لأُنَحِّينَّ هذا عنِ الْمسلِمِينَ لا يُؤْذِيهُمْ ، فأُدْخِلَ الْجَنَّةَ
وفي رواية لهما : « بيْنَما رجُلٌ يمْشِي بِطريقٍ وجد غُصْن شَوْكٍ علَى الطَّرِيقِ ، فأخَّرُه فشَكَر اللَّهُ لَهُ ، فغَفر لَهُ


Kutoka kwa Abuu Hurayrah  Radhi za Allah ziwe juu yake amepokea kutoka kwa Mtume  Amesema: [Kwa hakika nilimuona mtu akitembea Peponi kwa sababu ya mti alioukata katikati ya njia uliokuwa ukiwaudhi Waislaamu.]      [Imepokewa na Muslim]

Na katika Riwaya nyingine inasema: [Mtu mmoja alipita katikati ya tawi la mti uliokuwa katikati ya njia, akasema: Wa-Allaahi nitaliondoa tawi hili lisiwaudhi Waislaamu. basi Akaingizwa Peponi].

Na Riwaya nyingine ya Bukhari na Muslim imesema: [Mtu mmoja alipokuwa akitembea njiani, akakuta tawi la mti wenye miba njiani, akaliweka nyuma. Mwenyezi Mungu Akamjazi na Akamghufuria.]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668197
TodayToday885
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 38

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866c024e163f19308474231751564324
title_6866c024e171d4402162131751564324
title_6866c024e180019752065531751564324

NISHATI ZA OFISI

title_6866c024e2f7a20147589171751564324
title_6866c024e306010962541821751564324
title_6866c024e314120115794181751564324 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com