Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أَبِي ذرٍّ رضي اللَّه عنه : أنَّ ناساً قالوا : يا رسُولَ اللَّهِ ، ذَهَب أهْلُ الدُّثُور بالأجُورِ ، يُصَلُّونَ كَمَا نُصَلِّى ، وَيَصُومُونَ كَمَا نَصُومُ ، وَيَتَصَدَّقُونَ بَفُضُولِ أمْوَالهِمْ قال : «أوَ لَيْس قَدْ جَعَلَ لَكُمْ مَا تَصَدَّقُونَ بِهِ : إنَّ بِكُلِّ تَسْبِيحَةٍ صَدقَةً، وكُلِّ تَكبِيرةٍ صدقة ، وكلِّ تَحْمِيدةٍ صدقةً ، وكلِّ تِهْلِيلَةٍ صَدقَةً ، وأمرٌ بالمعْرُوفِ صدقةٌ ، ونَهْىٌ عنِ المُنْكر صدقةٌ وفي بُضْعِ أحدِكُمْ صدقةٌ » قالوا : يا رسولَ اللَّهِ أيأتي أحدُنَا شَهْوَتَه ، ويكُونُ لَه فيها أجْر ؟، قال : «أرأيْتُمْ لو وضَعهَا في حرامٍ أَكَانَ عليهِ وِزْرٌ ؟ فكذلكَ إذا وضَعهَا في الحلاَلِ كانَ لَهُ أجْرٌ»   رواه مسلم


Kutoka Abuu Dharr, Jundub bin Junaadah Radhi za Allah ziwe juu kwamba Baadhi ya watu (walimuendea Mtume ﷺ) wakamwambia: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu , matajiri wamechukua thawabu zote. Wao wanaswali kama tunavyoswali, na wanafunga kama tunavyofunga na wanatoa sadaka katika mali yao iliyobaki. (Mtume ﷺ) Akawaambia: [Nanyi pia Mwenyezi Mungu Amewajaalia cha kutolea sadaka; kila Tasbihi  (Kusema Subhaana Allaah) ni sadaka, na kila Takbiri (Kusema Allaahu Akbar) ni sadaka, na kila Tahliil (Kusema Laa ilaaha illa-Allaah) ni sadaka, na kila Tahmid (Kusema AlhamduliLLaah) ni sadaka. na Kuamrisha mema ni sadaka na kukataza maovu ni sadaka, na mmoja wenu anapo muingilia mkewe ni sadaka.] Wakauliza: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, mmoja wetu anaenda kufanya matamanio yake na awe amepata Thawabu? Akawaambia: [Mwaonaje lau kitendo kile atakifanya kwa njia ya haraam, si atapata dhambi? Vile vile atakapokitenda kwa njia ya halaal atakuwa na ujira.]    [Imepokewa na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



 

 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668231
TodayToday7994
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 330

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f53e1cfd16267484131777434451
title_69f17f53e1d4d18431181451777434451
title_69f17f53e1d9a12092058011777434451

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f53e239214642838031777434451
title_69f17f53e23c265182581777434451
title_69f17f53e240e10978231431777434451 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com