Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


{قال اللَّه تعالى : {أَوَلَمْ نُعَمِّرْكُم مَّا يَتَذَكَّرُ فِيهِ مَن تَذَكَّرَ وَجَاءَكُمُ النَّذِيرُ

قال ابن عباس والمحققون: معناه: أولم نعمركم ستين سنة، ويؤيده الحديث الذي سنذكره إن شاء اللَّه تعالى

وقيل معناه: ثماني عشرة سنة. وقيل: أربعين سنة. قاله الحسن والكلبي ومسروق، ونقل عنابن عباس أيضاً، ونقلوا أن أهل المدينة كانوا إذا بلغ أحدهم أربعين سنة تفرغ للعبادة

وقيل هو: البلوغ. وقوله تعالى: {وَجَاءَكُمُ النَّذِيرُ}  قال ابن عباس والجمهور: هو النبي صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّم. وقيل: الشيب. قاله عكرمة وابن عيينة وغيرهما،     والله أعلم


Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Kwani hatukukupeni umri wa kutosha kukumbuka mwenye kukumbuka? Na akakujieni Mwonyaji?]     [Suurat Faatír:37]

Amesema ‘Abdullaah bin ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yake na ‘Ulamaa wenye tahakiki “Je, hatukuwapa umri wa miaka sitini?” Kauli hii inatiliwa nguvu na Hadithi itakayokuja in shaa Allaah.

Na Kumesemwa kuwa, maana yake ni: Miaka kumi na nane, na pia kumesemwa ni miaka arobaini. Kauli hii imesemwa na Al-Hasan, Al-Kalbiy na Masruwq. Vile vile imenukuliwa kutoka kwa ‘Abdullaah bin ‘Abbaas wakaeleza kuwa: Watu wa Madina ilikuwa mtu akitimiza umri wa miaka arobaini, hujihusisha na ‘Ibaada pekee.

Na kumesemwa ni Mtu kubalighi.Na neno lake [Na akakujieni Mwonyaji?] Amesema Ibu Abbas na Jamhuri ya Wanachuoni kuwa Muojaji katika aya hii ni Mtume ﷺ.

na Kumesemwa na kuota Mvi amesema hayo Ikrima na Ibnu Uyeyna na wengineo. Na Allah ndie mjuzi zaidi.


 شرح مقدمة الباب مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031687
TodayToday770
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 119

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d7a104966212650223131787656720
title_6a8d7a10496c6762006711787656720
title_6a8d7a104972619252849721787656720

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d7a105f4fa689359611787656720
title_6a8d7a105f56011894630531787656720
title_6a8d7a105f5be19749840261787656720 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com