Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أبي عبد اللَّه ويُقَالُ: أبُو عبْدِ الرَّحمنِ ثَوْبانَ موْلى رسولِ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال: سمِعْتُ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يقول: عليكَ بِكَثْرةِ السُّجُودِ، فإِنَّك لَنْ تَسْجُد للَّهِ سجْدةً إلاَّ رفَعكَ اللَّهُ بِهَا درجةً، وحطَّ عنْكَ بِهَا خَطِيئَةً»     رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu ‘Abdillah, pia huitwa Abuu ‘Abdir-Rahmaan, Thawbaan muachwa huru wa Mtume amesema: Nilimsikia Mtume  akisema: [Kithirisha kusujudu kwa wingi, kwani wewe hutosujudu sijdah (moja) isipokuwa Mwenyezi Mungu Atakupandisha daraja kwa sijdah hiyo, na Atakuondoshea dhambi kwa sijdah hiyo.]     [Imepokewa na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668629
TodayToday294
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 757

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f18c69af8b620978356721777437801
title_69f18c69af95016022920501777437801
title_69f18c69af9b55406138151777437801

NISHATI ZA OFISI

title_69f18c69b0a7617338289221777437801
title_69f18c69b0abf9438693061777437801
title_69f18c69b0b1c21357018831777437801 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com