Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أبي عبد اللَّه ويُقَالُ: أبُو عبْدِ الرَّحمنِ ثَوْبانَ موْلى رسولِ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال: سمِعْتُ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يقول: عليكَ بِكَثْرةِ السُّجُودِ، فإِنَّك لَنْ تَسْجُد للَّهِ سجْدةً إلاَّ رفَعكَ اللَّهُ بِهَا درجةً، وحطَّ عنْكَ بِهَا خَطِيئَةً»     رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu ‘Abdillah, pia huitwa Abuu ‘Abdir-Rahmaan, Thawbaan muachwa huru wa Mtume amesema: Nilimsikia Mtume  akisema: [Kithirisha kusujudu kwa wingi, kwani wewe hutosujudu sijdah (moja) isipokuwa Mwenyezi Mungu Atakupandisha daraja kwa sijdah hiyo, na Atakuondoshea dhambi kwa sijdah hiyo.]     [Imepokewa na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887163
TodayToday296
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 57

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba64e5a10918016481641782294094
title_6a3ba64e5a15813275486411782294094
title_6a3ba64e5a1a412923433501782294094

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba64e5a72b17190823861782294094
title_6a3ba64e5a77815773579331782294094
title_6a3ba64e5a7c310897759621782294094 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com