Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أبي هريرة رضي اللَّه عنه قال: قال رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم: «المُؤمِن الْقَوِيُّ خيرٌ وَأَحبُّ إِلى اللَّهِ مِنَ المُؤْمِنِ الضَّعِيفِ وفي كُلٍّ خيْرٌ. احْرِصْ عَلَى مَا ينْفَعُكَ، واسْتَعِنْ بِاللَّهِ وَلاَ تَعْجَزْ. وإنْ أصابَك شيءٌ فلاَ تقلْ: لَوْ أَنِّي فَعلْتُ كانَ كَذَا وَكذَا، وَلَكِنْ قُلْ: قدَّرَ اللَّهُ، ومَا شَاءَ فَعَلَ، فَإِنَّ لَوْ تَفْتَحُ عَمَلَ الشَّيْطَان».     رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu   [Muumini mwenye nguvu ni bora na anapendeza zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu kulikoni Muumini dhaifu, na katika wote (hao) kuna kheri, fanya Pupa katika jambo linalokunufaisha, na uombe msaada kwa Mwenyezi Mungu na wala usifanye uvivu, Utakaposibiwa na jambo usiseme; Lau ningalifanya kadhaa na kadhaa, lakini sema: "Ni makadiro ya Mungu na Atakalo Yeye huwa." Kwani kusema; lau, hufungua ‘amali ya Shaetani.]      [Imepokewa na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887009
TodayToday142
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 73

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7f57446f63257468051782284119
title_6a3b7f574475220352650831782284119
title_6a3b7f57447b23555884691782284119

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7f5744df52764320371782284119
title_6a3b7f5744e4113127029461782284119
title_6a3b7f5744e8c18348957881782284119 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com