Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أبي هريرة رضي اللَّه عنه قال: قال رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم: «المُؤمِن الْقَوِيُّ خيرٌ وَأَحبُّ إِلى اللَّهِ مِنَ المُؤْمِنِ الضَّعِيفِ وفي كُلٍّ خيْرٌ. احْرِصْ عَلَى مَا ينْفَعُكَ، واسْتَعِنْ بِاللَّهِ وَلاَ تَعْجَزْ. وإنْ أصابَك شيءٌ فلاَ تقلْ: لَوْ أَنِّي فَعلْتُ كانَ كَذَا وَكذَا، وَلَكِنْ قُلْ: قدَّرَ اللَّهُ، ومَا شَاءَ فَعَلَ، فَإِنَّ لَوْ تَفْتَحُ عَمَلَ الشَّيْطَان».     رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu   [Muumini mwenye nguvu ni bora na anapendeza zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu kulikoni Muumini dhaifu, na katika wote (hao) kuna kheri, fanya Pupa katika jambo linalokunufaisha, na uombe msaada kwa Mwenyezi Mungu na wala usifanye uvivu, Utakaposibiwa na jambo usiseme; Lau ningalifanya kadhaa na kadhaa, lakini sema: "Ni makadiro ya Mungu na Atakalo Yeye huwa." Kwani kusema; lau, hufungua ‘amali ya Shaetani.]      [Imepokewa na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668192
TodayToday7955
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 269

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e5e67b085861709901777434206
title_69f17e5e67b6d4654617771777434206
title_69f17e5e67bcb16855447541777434206

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e5e684b318517816071777434206
title_69f17e5e6850314271757751777434206
title_69f17e5e6855b13963868641777434206 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com