Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عنْ أبي سِرْوَعَةَ بكسرِ السين المهملةِ وفتحها عُقبةَ بنِ الْحارِثِ رضي اللَّه عنه قال: صليت وراءَ النَبيِّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم بالمدِينةِ الْعصْرَ ، فسلَّم ثُمَّ قَامَ مُسْرعاً فَتَخَطَّى رِقَابَ النَّاسِ إلى بعض حُجَرِ نسائِهِ ، فَفَزعَ النَّاس من سرعَتهِ ، فخرج عَليهمْ ، فرأى أنَّهُمْ قدْ عَجِبوا منْ سُرْعتِه ، قالَ : «ذكرت شيئاً من تبْرٍ عندَنا ، فكرِهْتُ أن يحبسَنِي ، فأمرْتُ بقسْمتِه»     رواه البخاري

وفي رواية له: « كنْتُ خلَّفْتُ في الْبيتِ تِبراً من الصَّدقةِ ، فكرِهْتُ أنْ أُبَيِّتَه »

التِّبْر» قطع ذهبٍ أوْ فضَّةٍ


Kutoka kwa Abuu Sirw’ah, ‘Uqbah bin Al-Haarith Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Niliswali nyuma ya Mtume Swalaa ya Alasiri Madina. Akatoa salaamu kisha akainuka kwa haraka, akawa anaziruka shingo za watu kuelekea katika chumba kimoja cha wakeze. Watu wakapata mshangao kwa ile haraka yake. Kisha akawatokezea na kuwaona wamemstajabu kwa ile haraka yake, akawaambia: [Nilikumbuka kitu katika kipande cha dhahabu kilichokuwa kwetu, nikakichukua kisije kikanizuia, nikaamuru kigawanywe.]    [Imepokewa na Bukhari]

Na katika Riwaya nyingine ya Bukhariy imesema:

[Nilikuwa nimeacha nyumbani kipande cha dhahabu cha Sadaka, nikachukia kisije kikapitiwa na usiku (nacho kipo nyumbani).]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668636
TodayToday301
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 728

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f18cc84e9ff5937011931777437896
title_69f18cc84ea6b21083980711777437896
title_69f18cc84ead019055755621777437896

NISHATI ZA OFISI

title_69f18cc84f26513328414811777437896
title_69f18cc84f2b46791013201777437896
title_69f18cc84f30020121832761777437896 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com