Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعنْ عطاءِ بْن أَبي رَباحٍ قالَ : قالَ لِي ابْنُ عبَّاسٍ رضي اللَّهُ عنهُمَا ألا أريكَ امْرَأَةً مِن أَهْلِ الجَنَّة ؟ فَقُلت : بلَى ، قَالَ : هذِهِ المْرأَةُ السوْداءُ أَتَتِ النبيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم فقالَتْ : إِنِّي أُصْرَعُ ، وإِنِّي أَتكَشَّفُ ، فَادْعُ اللَّه تعالى لِي قَالَ : « إِن شئْتِ صَبَرْتِ ولكِ الْجنَّةُ، وإِنْ شِئْتِ دعَوْتُ اللَّه تَعالَى أَنْ يُعافِيَكِ » فقَالتْ : أَصْبرُ ، فَقالت : إِنِّي أَتَكشَّفُ ، فَادْعُ اللَّه أَنْ لا أَتكشَّفَ ، فَدَعَا لَهَا .  متَّفقٌ عليْهِ


ترجمة عطاء بن أبي رباح



1شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



2شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى


Kutoka kwa ‘Atwaa bin Abiy Rabaah amesema: ’Abdullaah bin ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yao aliniambia: Je, nikuonyeshe mwanamke ambae ni katika watu wa Peponi?” Nikwambia: kwanini? Akasema “Ni huyu mwanamke mweusi, alimuendea Mtume  na kamwambia: “Mimi nina kifafa na huwa nafichulika wazi (sehemu za siri kinaponijia), niombee Mwenyezi Mungu (anipoze).” Akamwambia: [Ukitaka subiri na uingie Peponi na ukitaka nitamuomba Mwenyezi Mungu Akuponye.] Akasema: “Nitasubiri lakini mimi nafichulika wazi basi niombee Mwenyezi Mungu nisifichulike wazi (nisitirike nguo isinifunuke).” (Mtume ﷺ) Akamuombea.     [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887163
TodayToday296
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 59

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba67d941a617962070281782294141
title_6a3ba67d941d212230354081782294141
title_6a3ba67d9421e11165930191782294141

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba67d947d11602294651782294141
title_6a3ba67d9481d16600333921782294141
title_6a3ba67d948681896813101782294141 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com