Menu

باب الإخلاص وإحضار النية في جميع الأعمال والأقوال البارزة والخفية 


1463655589


قال الله تعالي: {وَمَا أُمِرُوا إِلَّا لِيَعْبُدُوا اللَّهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ حُنَفَاءَ وَيُقِيمُوا الصَّلاةَ وَيُؤْتُوا الزَّكَاةَ وَذَلِكَ دِينُ الْقَيِّمَةِ}  البينة: 5

 

وقال تعالي: {لَنْ يَنَالَ اللَّهَ لُحُومُهَا وَلا دِمَاؤُهَا وَلَكِنْ يَنَالُهُ التَّقْوَى مِنْكُمْ}   الحج: من الآية37

 

وقال تعالي {قُلْ إِنْ تُخْفُوا مَا فِي صُدُورِكُمْ أَوْ تُبْدُوهُ يَعْلَمْهُ اللَّهُ}   آل عمران: من الآية29


شرح مقدمة الباب مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



MLANGO WA IKHALASI NA KULETA NIA KATIKA MATENDO YOTE,MANENO HALI YA DHAHIRI NA YA SIRI


Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu

[Nao hawakuamrishwa kitu ila wamuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Dini, wawe waongofu, na washike Sala, na watoe Zaka. Na hiyo ndiyo Dini madhubuti]   [Al Bayyinah:5]

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Nyama zao hazimfikii Mwenyezi Mungu wala damu zao, lakini unamfikia uchamngu wenu]     [Al Hajj:37]

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Sema: Mkificha yaliyomo vifuani mwenu au mkiyafichua Mwenyezi Mungu anayajua]   [Al Imraan: 29]


 SIKILIZA UTANGULI WA KITABU HIKI NA DR.ISLAM



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887016
TodayToday149
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 77

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b8090f19ab11371688351782284432
title_6a3b8090f19fa3018067081782284432
title_6a3b8090f1a4513345341691782284432

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b8090f1fc620574231501782284432
title_6a3b8090f20136948059001782284432
title_6a3b8090f204e1656264371782284432 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com