Menu

باب الإخلاص وإحضار النية في جميع الأعمال والأقوال البارزة والخفية 


1463655589


قال الله تعالي: {وَمَا أُمِرُوا إِلَّا لِيَعْبُدُوا اللَّهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ حُنَفَاءَ وَيُقِيمُوا الصَّلاةَ وَيُؤْتُوا الزَّكَاةَ وَذَلِكَ دِينُ الْقَيِّمَةِ}  البينة: 5

 

وقال تعالي: {لَنْ يَنَالَ اللَّهَ لُحُومُهَا وَلا دِمَاؤُهَا وَلَكِنْ يَنَالُهُ التَّقْوَى مِنْكُمْ}   الحج: من الآية37

 

وقال تعالي {قُلْ إِنْ تُخْفُوا مَا فِي صُدُورِكُمْ أَوْ تُبْدُوهُ يَعْلَمْهُ اللَّهُ}   آل عمران: من الآية29


شرح مقدمة الباب مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



MLANGO WA IKHALASI NA KULETA NIA KATIKA MATENDO YOTE,MANENO HALI YA DHAHIRI NA YA SIRI


Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu

[Nao hawakuamrishwa kitu ila wamuabudu Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia Dini, wawe waongofu, na washike Sala, na watoe Zaka. Na hiyo ndiyo Dini madhubuti]   [Al Bayyinah:5]

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Nyama zao hazimfikii Mwenyezi Mungu wala damu zao, lakini unamfikia uchamngu wenu]     [Al Hajj:37]

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Sema: Mkificha yaliyomo vifuani mwenu au mkiyafichua Mwenyezi Mungu anayajua]   [Al Imraan: 29]


 SIKILIZA UTANGULI WA KITABU HIKI NA DR.ISLAM



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668232
TodayToday7995
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 330

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f587f35413413236301777434456
title_69f17f587f3c39332695261777434456
title_69f17f587f42815812735711777434456

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f588031d20227982851777434456
title_69f17f588036e11191849111777434456
title_69f17f58803bb5975748021777434456 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com