Menu

الحديث الثامن


 Annawawiy1


“أمرت أن أقاتل الناس”

عن ابنِ عُمَرَ رضي الله عنهما أنَّ رسُوَل الله صلى الله عليه وسلم قال: [أُمِرْتُ أَنْ أُقاتِلَ النَّاسَ حتَّى يَشْهَدُوا أنْ لا إلَهَ إلاَّ اللهُ وأنَّ محمداً رسوُل اللهِ، ويُقِيمُوا الصَّلاَةَ، ويُؤتُوا الزَّكاةَ، فإذا فَعَلوا ذَلِكَ عَصَموا منِّي دِماءَهُمْ وأمْوَالَهُمْ إلا بِحَقِّ الإِسْلامِ، وحِسابُهُم على اللهِ تعالى

رَوَاهُ الْبُخَارِيُّ وَمُسْلِمٌ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



HADITHI YA 8


NIMEAMRISHWA NIPIGANE NA WATU


Kutoka kwa Ibn ‘Umar Radhi za Allah ziwe juu yake ambaye alisema kuwa Mtume Rehma na amani zimfikie yeye kasema :

[Nimeamrishwa nipigane na watu mpaka washahadie kuwa hakuna Mungu ispokuwa Allaah alie tukuka na Muhammad ni Mjumbe wa Allaah Subhanahu Wata'ala na mpaka watakaposwali, na wakatoa zaka, na wakifanya hivyo, watakuwa wamepata himaya kwangu ya damu yao, na mali yao isipokuwa kwa haki ya Uislamu. Na hesabu yao itakuwa kwa Mwenyezi Mungu alie tukuka.]

[Imepokelewa na Al-Bukhari na Muslim]


Sikiliza sherehe ya hadithi hii na Sheikh Mahamad Rajab



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6785509
TodayToday510
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 32

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a98fb749eac19585245311755942839
title_68a98fb749fa912203850161755942839
title_68a98fb74a09319110417461755942839

NISHATI ZA OFISI

title_68a98fb74d9605821471001755942839
title_68a98fb74da5c17044642991755942839
title_68a98fb74db3b13656295111755942839 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com