Menu

الحديث السابع


 Annawawiy1


“الدين النصيحة”

عن أبي رُقَيَّةَ تَمِيمِ بنِ أوْسٍ الدَّارِيِّ رضي اللهُ عنه: أَنَّ النَّبي صلى الله عليه وسلم قالَ:[الدِّينُ النَّصِيحَةُ]. قُلْنَا: لِمَنْ ؟ قالَ: [للهِ، ولِكِتَابِهِ، ولِرَسُولِهِ، ولِلأَئِمةِ المُسْلِمِينَ، وعامَّتِهِمْ

رَوَاهُ مُسْلِمٌ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



 HADITHI YA 7


DINI NI NASIHA


Kutoka kwa Abu Ruqayyah Tamim Ibn Aus Addarry Radhi za Allah ziwe juu yake ambaye amesema kuwa Bwana Mtume Rehma na amani zimfikie yeye kasema:

[Dini ni nasiha.] Tukauliza: Kwa nani?  Akasema [Kwa Allaah, na Kitabu chake, na Mtume wake na kwa Viongozi wa Waislamu na watu wa kawaid]

[Imepokelewa na Muslim] 


Sikiliza sherehe ya hadithi hii na Sheikh Mahamad Rajab sehemu ya kwanza



Sikiliza sherehe ya hadithi hii na Sheikh Mahamad Rajab sehemu ya pili



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7855355
TodayToday1072
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 3

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a137f5730f5d3031997971779662679
title_6a137f5730fab14458419401779662679
title_6a137f5730ff93487522371779662679

NISHATI ZA OFISI

title_6a137f573157213421819401779662679
title_6a137f57315be1237704281779662679
title_6a137f573160812755614431779662679 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com