Menu

 

KATIKA MAMBO YA KHERI NA ADABU KWA JUMLA

 

Ikiingia jioni (yaani jua linapokuchwa wakati wa magharibi) wazuieni watoto wenu kutoka toka kwani mashetani wanatawanyika nyakati hizo, ikisha pita wakati waacheni.   Na fungeni milango yenu  na mtajeni Mwenyezi Mungu  mnapoifunga, kwani shetani hafungui mlango ulio fungwa.  Na fungeni viriba vyenu vya maji, na mtajeni Mwenyezi Mungu.  Na funikeni vyombo vyenu na mtajeni Mwenyezi Mungu (funikeni) hata kama ni kwa kuwekea kitu ju.  Na zimeni taa zenu.     [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]

 

وصلى الله وسلم وبارك على نبينا محمد وعلى آله وأصحابه أجمعين

[Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad, na wake zake, na kizazi chake, kama ulivyowarehemu jamaa wa Ibrahim. Na mbariki Muhammad, na wake zake, na kizazi chake, kama ulivyowabariki jamaa zake Ibrahim, hakika Wewe Umesifika na Umetukuka.]

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785846
TodayToday847
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9d7b0cb5244060221011755961264
title_68a9d7b0cb60a6401138461755961264
title_68a9d7b0cb6e8470520361755961264

NISHATI ZA OFISI

title_68a9d7b0ccc443223813631755961264
title_68a9d7b0ccd2a3441032721755961264
title_68a9d7b0cce025176072051755961264 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 10 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com