Menu

 

KATIKA MAMBO YA KHERI NA ADABU KWA JUMLA

 

Ikiingia jioni (yaani jua linapokuchwa wakati wa magharibi) wazuieni watoto wenu kutoka toka kwani mashetani wanatawanyika nyakati hizo, ikisha pita wakati waacheni.   Na fungeni milango yenu  na mtajeni Mwenyezi Mungu  mnapoifunga, kwani shetani hafungui mlango ulio fungwa.  Na fungeni viriba vyenu vya maji, na mtajeni Mwenyezi Mungu.  Na funikeni vyombo vyenu na mtajeni Mwenyezi Mungu (funikeni) hata kama ni kwa kuwekea kitu ju.  Na zimeni taa zenu.     [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]

 

وصلى الله وسلم وبارك على نبينا محمد وعلى آله وأصحابه أجمعين

[Ewe Mwenyezi Mungu mrehemu Muhammad, na wake zake, na kizazi chake, kama ulivyowarehemu jamaa wa Ibrahim. Na mbariki Muhammad, na wake zake, na kizazi chake, kama ulivyowabariki jamaa zake Ibrahim, hakika Wewe Umesifika na Umetukuka.]

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887297
TodayToday430
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 47

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bbf62d581f8457602851782300514
title_6a3bbf62d58708187190101782300514
title_6a3bbf62d58b29129044541782300514

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bbf62d5ed111052888951782300514
title_6a3bbf62d5f207724930491782300514
title_6a3bbf62d5f6c5903115471782300514 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com