Menu

KINGA YA MUISLAMU


 dua deni


 

[ اللهم اكفني بحلالك عن حرامك ، وأغنني بفضلك عمن سواك ]

الترمذي 5/560

[Ewe Mwenyezi Mungu nitosheleze mimi na halali yako kutokana na haramu, na unitosheleze kwa fadhila zako nisiwahitaji wengine usio Wewe.]        [Imepokewa na Al-Ttirmidhiy.]

[ اللهم إني أعوذ بك من الهم والحزن ، والعجز والكسل ،والبخل والجبن وضلع الدين وغلبة الرجال ]

البخاري7/ 158

[Ewe Mwenyezi Mungu  hakika mimi najilinda kwako kutokana na hamu na huzuni na kutoweza na uvivu na ubakhili na uoga na uzito wa deni na kushindwa na watu.]       [Imepokewa na Bukhari.]


SIKILIZA DUA YA KULIPA DENI


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887281
TodayToday414
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 32

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bbe314e8bd8942831871782300209
title_6a3bbe314e90e21391052181782300209
title_6a3bbe314e95b19712192341782300209

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bbe314ef44600698031782300209
title_6a3bbe314ef9313370965691782300209
title_6a3bbe314efdf2254572421782300209 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com