Menu

SOMO LA FIQHI YA KUAMILIANA


somo lafiqhi


Suala la nne: Uamuzi katika biashara.

Uamuzi: Kwa kila muuzaji na mnunuzi ana haki ya kufunga mkataba wa Uuzaji au kuvunja huo mkataba.

Mbali na hayo hairuhusiwi kuvunja mkataba wa Kuuza na kununuwa ikiwa nguzo na masharti ya Uuzaji yametimia. Lakini dini ya usilamu ni dini ya huruma, inajali matatizo na masilahi ya watu wote. Kwa ajili hii, muislamu akiuza bidhaa au akinunua kisha akajutia baada ya hapo, uislamu umemruhusu kuregelea bidhaa yake/pesa yake baada ya kuchukua uamuzi wa sawa.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6785159
TodayToday160
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 28

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9565d092b215979554071755928157
title_68a9565d0939d18931487851755928157
title_68a9565d0947e15810292811755928157

NISHATI ZA OFISI

title_68a9565d0aa0c13985204911755928157
title_68a9565d0aaf010287619781755928157
title_68a9565d0abd22110572871755928157 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com