Menu

SOMO LA FIQHI YA KUAMILIANA


somo lafiqhi


Suala la nne: Uamuzi katika biashara.

Uamuzi: Kwa kila muuzaji na mnunuzi ana haki ya kufunga mkataba wa Uuzaji au kuvunja huo mkataba.

Mbali na hayo hairuhusiwi kuvunja mkataba wa Kuuza na kununuwa ikiwa nguzo na masharti ya Uuzaji yametimia. Lakini dini ya usilamu ni dini ya huruma, inajali matatizo na masilahi ya watu wote. Kwa ajili hii, muislamu akiuza bidhaa au akinunua kisha akajutia baada ya hapo, uislamu umemruhusu kuregelea bidhaa yake/pesa yake baada ya kuchukua uamuzi wa sawa.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887011
TodayToday144
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 79

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7fda4616e12121053101782284250
title_6a3b7fda461bf5415450651782284250
title_6a3b7fda4620c12673530381782284250

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7fda467da15658695931782284250
title_6a3b7fda4682719083371381782284250
title_6a3b7fda4687315969384781782284250 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 10 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com