Menu

SOMO LA FIQHI YA KUAMILIANA


somo lafiqhi


Suala la nne: Uamuzi katika biashara.

Uamuzi: Kwa kila muuzaji na mnunuzi ana haki ya kufunga mkataba wa Uuzaji au kuvunja huo mkataba.

Mbali na hayo hairuhusiwi kuvunja mkataba wa Kuuza na kununuwa ikiwa nguzo na masharti ya Uuzaji yametimia. Lakini dini ya usilamu ni dini ya huruma, inajali matatizo na masilahi ya watu wote. Kwa ajili hii, muislamu akiuza bidhaa au akinunua kisha akajutia baada ya hapo, uislamu umemruhusu kuregelea bidhaa yake/pesa yake baada ya kuchukua uamuzi wa sawa.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887147
TodayToday280
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 33

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba297b543a5466879071782293143
title_6a3ba297b548a8138699041782293143
title_6a3ba297b54d620122644751782293143

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba297b5a6411132499601782293143
title_6a3ba297b5ab011347564571782293143
title_6a3ba297b5afc18798212531782293143 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com