Menu

SOMO LA FIQHI YA KUAMILIANA


somo lafiqhi


Suala la nne: Uamuzi katika biashara.

Uamuzi: Kwa kila muuzaji na mnunuzi ana haki ya kufunga mkataba wa Uuzaji au kuvunja huo mkataba.

Mbali na hayo hairuhusiwi kuvunja mkataba wa Kuuza na kununuwa ikiwa nguzo na masharti ya Uuzaji yametimia. Lakini dini ya usilamu ni dini ya huruma, inajali matatizo na masilahi ya watu wote. Kwa ajili hii, muislamu akiuza bidhaa au akinunua kisha akajutia baada ya hapo, uislamu umemruhusu kuregelea bidhaa yake/pesa yake baada ya kuchukua uamuzi wa sawa.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668118
TodayToday806
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 27

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866ae1ca74f113550229841751559708
title_6866ae1ca75de5113975921751559708
title_6866ae1ca76bb18596636941751559708

NISHATI ZA OFISI

title_6866ae1ca8c5a12341432431751559708
title_6866ae1ca8d4010182768861751559708
title_6866ae1ca8e1914590708581751559708 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com