Menu

SOMO LA FIQHI YA KUAMILIANA


somo lafiqhi


Suala la nne: Uamuzi katika biashara.

Uamuzi: Kwa kila muuzaji na mnunuzi ana haki ya kufunga mkataba wa Uuzaji au kuvunja huo mkataba.

Mbali na hayo hairuhusiwi kuvunja mkataba wa Kuuza na kununuwa ikiwa nguzo na masharti ya Uuzaji yametimia. Lakini dini ya usilamu ni dini ya huruma, inajali matatizo na masilahi ya watu wote. Kwa ajili hii, muislamu akiuza bidhaa au akinunua kisha akajutia baada ya hapo, uislamu umemruhusu kuregelea bidhaa yake/pesa yake baada ya kuchukua uamuzi wa sawa.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668202
TodayToday7965
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 300

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17ec9e08a44881276021777434313
title_69f17ec9e09063668509291777434313
title_69f17ec9e095f4413304191777434313

NISHATI ZA OFISI

title_69f17ec9e16a216460074111777434313
title_69f17ec9e170620838458791777434313
title_69f17ec9e176211332036291777434313 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com