Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi 


Yanayoharamishwa kwa mwenye janaba

1. KUSWALI:
Kwa neno lake Mwenyazi Mungu Aliyetukuka:

 

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَقْرَبُوا الصَّلَاةَ وَأَنتُمْ سُكَارَىٰ حَتَّىٰ تَعْلَمُوا مَا تَقُولُونَ وَلَا جُنُبًا إِلَّا عَابِرِي سَبِيلٍ حَتَّىٰ تَغْتَسِلُوا}    النساء:43}

 

[Enyi mlioamini! Msikaribie Swala hali mmelewa, mpaka myajue mnayo sema, wala hali mna janaba isipo kuwa mmo safarini mpaka muoge]   [Al-Nisaa 43]

2. KUTUFU NYUMBA TUKUFU (Alkaba):

Kwa neno lake Mtume :

 

 

 الطواف صلاة إلا أن الله تعالى أحل فيه الكلام؛ فمن تكلم فلا يتكلم إلا بخير]     رواه النسائي]

 

[Kutufu Alkaba ni kama kuswali isipokuwa Mwenyezi Mungu amehalalisha kuzungumza,basi atakae zungumza asizungumze ila kwa kheri]   [Imepokewa na Nasai.].

3. KUGUSA MSAHAFU:
Kwa neno lake Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:

 

لَّا يَمَسُّهُ إِلَّا الْمُطَهَّرُونَ}    الواقعة:79}

 

[Hawaigusi isipokuwa waliotwahirishwa]    [56: 9].

Na neno la Mtume :

 

لا يمس القرآن إلا طاهر]    رواه مالك في الموطأ]

 

[Haugusi Msahafu isipokuwa aliye Twahara]    [Imeipokewa na Malik katika Muwatta’.]

4. KUSOMA QUR'ANI TUKUFU:
Imepokelewa kutoka kwa Sayyidna Ali Radhi za Allah ziwe juu yake amesema:

 

كان النبي صلى الله عليه وسلم يقرئنا القرآن ما لم يكن جبنا]    رواه أحمد في المسند]

 

[Alikuwa Mtume ﷺ Akitusomea Qur'ani isipokuwa akiwa na janaba]   [ Imepokewa na Ahmad katika Musnad].

5. KUKAA MSIKITINI ISIPOKUWA KWA MPITA NJIA:

Kwa neno lake Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:

 

43:يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَقْرَبُوا الصَّلَاةَ وَأَنتُمْ سُكَارَىٰ حَتَّىٰ تَعْلَمُوا مَا تَقُولُونَ وَلَا جُنُبًا إِلَّا عَابِرِي سَبِيلٍ حَتَّىٰ تَغْتَسِلُوا}    سورة النساء}

 

[Enyi mlioamini! Msikaribie Swala hali mmelewa, mpaka myajue mnayo sema, wala hali mna janaba isipo kuwa mmo safarini mpaka muoge].  [ Al-Nisaa 43]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785148
TodayToday149
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a952b9b751c6713458781755927225
title_68a952b9b760514911660261755927225
title_68a952b9b76f316474188071755927225

NISHATI ZA OFISI

title_68a952b9b8c8f15090971461755927225
title_68a952b9b8d7213283904381755927225
title_68a952b9b8e5b5790996361755927225 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com