Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi


Suala: Ni yapi Masharti ya kutawadha?

Jawabu: Masharti ya kutawadha ni kama yafuatavyo

1. Maji yawe twahara.

2. Maji yawe yafaa kutumiwa, yasiwe ya kuiba, kwa mfano.

3. Kuondoa chochote chenye kuzuia maji kufika kwenye ugozi, kama vile mafuta ya mshumaa na mfano wake.

4. Kumaliza na kukatika kinacho sababisha kutawadha, kwa mfano mtu kutawadha na huku bado hajamaliza kukidhi haja yake.

5. Kukatika kwa damu ya Hedhi na Nifasi kwa Mwanamke, lau atatawadha mwanamke mwenye Hedhi au Nifasi basi Udhu wake hautasihi.

6. Kuingia kwa wakati kwa mtu mwenye Hadathi ya daima kama mwenye ugonjwa wa kutokwa na mikojo au Mwanamke mwenye damu ya Istihadha (Damu ya ugonjwa).


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668173
TodayToday861
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 20

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866b8f60dfb0417022811751562486
title_6866b8f60e09020881867881751562486
title_6866b8f60e15c21349124931751562486

NISHATI ZA OFISI

title_6866b8f60f53417152952091751562486
title_6866b8f60f60e10856134941751562486
title_6866b8f60f6e220241644031751562486 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com