Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi


Suala: Ni yapi Masharti ya kutawadha?

Jawabu: Masharti ya kutawadha ni kama yafuatavyo

1. Maji yawe twahara.

2. Maji yawe yafaa kutumiwa, yasiwe ya kuiba, kwa mfano.

3. Kuondoa chochote chenye kuzuia maji kufika kwenye ugozi, kama vile mafuta ya mshumaa na mfano wake.

4. Kumaliza na kukatika kinacho sababisha kutawadha, kwa mfano mtu kutawadha na huku bado hajamaliza kukidhi haja yake.

5. Kukatika kwa damu ya Hedhi na Nifasi kwa Mwanamke, lau atatawadha mwanamke mwenye Hedhi au Nifasi basi Udhu wake hautasihi.

6. Kuingia kwa wakati kwa mtu mwenye Hadathi ya daima kama mwenye ugonjwa wa kutokwa na mikojo au Mwanamke mwenye damu ya Istihadha (Damu ya ugonjwa).


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887001
TodayToday134
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 74

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7e3dc461613008196971782283837
title_6a3b7e3dc46667240880941782283837
title_6a3b7e3dc46b35678224051782283837

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7e3dc4c7c7649681961782283837
title_6a3b7e3dc4cca450525021782283837
title_6a3b7e3dc4d1617693236061782283837 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com