Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi


Suala: Ni yapi Masharti ya kutawadha?

Jawabu: Masharti ya kutawadha ni kama yafuatavyo

1. Maji yawe twahara.

2. Maji yawe yafaa kutumiwa, yasiwe ya kuiba, kwa mfano.

3. Kuondoa chochote chenye kuzuia maji kufika kwenye ugozi, kama vile mafuta ya mshumaa na mfano wake.

4. Kumaliza na kukatika kinacho sababisha kutawadha, kwa mfano mtu kutawadha na huku bado hajamaliza kukidhi haja yake.

5. Kukatika kwa damu ya Hedhi na Nifasi kwa Mwanamke, lau atatawadha mwanamke mwenye Hedhi au Nifasi basi Udhu wake hautasihi.

6. Kuingia kwa wakati kwa mtu mwenye Hadathi ya daima kama mwenye ugonjwa wa kutokwa na mikojo au Mwanamke mwenye damu ya Istihadha (Damu ya ugonjwa).


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785144
TodayToday145
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a952b9b751c6713458781755927225
title_68a952b9b760514911660261755927225
title_68a952b9b76f316474188071755927225

NISHATI ZA OFISI

title_68a952b9b8c8f15090971461755927225
title_68a952b9b8d7213283904381755927225
title_68a952b9b8e5b5790996361755927225 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com