Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi 


1. Kufanya jambo linalo pingana na sharti miongoni mwa sharti za swala kama kufanya jambo lenye kutenguwa twahara, au kukusudia kufunguwa uchi, au Kuzunguka upande wakibla, kwa mwili wake, au kuvunja nia

2. kukusudia kuacha nguzo au wajibu wa swala.

3. kujishughulisha na vitendo vingi kwa kitendo nje ya swala bila ya dharura kama kutembea na haraka nyingi

4. Kucheka na kujikohoza

5. Kuzungumza ndani ya Swala kwa kusudi

6. Kula na kunywa kwa kusudi.

7. Kuzidisha Rakaa au Nguzo kusudi

8. Maamuma kutoa salamu kabla ya imamu wake


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785499
TodayToday500
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a98c24b0cf42966647381755941924
title_68a98c24b0de01300998931755941924
title_68a98c24b0ec4228282541755941924

NISHATI ZA OFISI

title_68a98c24b24f94856172211755941924
title_68a98c24b25ec20744091491755941924
title_68a98c24b26b89955552381755941924 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com