Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi 


1. Kufanya jambo linalo pingana na sharti miongoni mwa sharti za swala kama kufanya jambo lenye kutenguwa twahara, au kukusudia kufunguwa uchi, au Kuzunguka upande wakibla, kwa mwili wake, au kuvunja nia

2. kukusudia kuacha nguzo au wajibu wa swala.

3. kujishughulisha na vitendo vingi kwa kitendo nje ya swala bila ya dharura kama kutembea na haraka nyingi

4. Kucheka na kujikohoza

5. Kuzungumza ndani ya Swala kwa kusudi

6. Kula na kunywa kwa kusudi.

7. Kuzidisha Rakaa au Nguzo kusudi

8. Maamuma kutoa salamu kabla ya imamu wake


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669220
TodayToday885
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 213

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19bdb673358072565791777441755
title_69f19bdb673876871015831777441755
title_69f19bdb673d39811143571777441755

NISHATI ZA OFISI

title_69f19bdb67afe17105353411777441755
title_69f19bdb67b4c12254685161777441755
title_69f19bdb67b98142699101777441755 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com