Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi 


1. Kufanya jambo linalo pingana na sharti miongoni mwa sharti za swala kama kufanya jambo lenye kutenguwa twahara, au kukusudia kufunguwa uchi, au Kuzunguka upande wakibla, kwa mwili wake, au kuvunja nia

2. kukusudia kuacha nguzo au wajibu wa swala.

3. kujishughulisha na vitendo vingi kwa kitendo nje ya swala bila ya dharura kama kutembea na haraka nyingi

4. Kucheka na kujikohoza

5. Kuzungumza ndani ya Swala kwa kusudi

6. Kula na kunywa kwa kusudi.

7. Kuzidisha Rakaa au Nguzo kusudi

8. Maamuma kutoa salamu kabla ya imamu wake


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887005
TodayToday138
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 64

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7ec331d1e13466793231782283971
title_6a3b7ec331d6e18507398351782283971
title_6a3b7ec331dba590208851782283971

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7ec3323a011633533361782283971
title_6a3b7ec3323ed1714738501782283971
title_6a3b7ec33243912748963721782283971 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com