Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi


1. Kuoga, na kukaa mahali penye maji ili kupata baridi.

2. Kumeza mate na makohozi.

3. Kuonja chakula ili kujua kiwango cha sukari au chumvi yake kwa kutumia ulimi peke yake, kwa sharti asiingize chochote katika chakula hicho hadi kwenye koo.

4. Kunusa harufu ya manukato na visafisha hewa.

FAIDA

Matumizi ya mswaki kwa mtu aliyefunga
Yaruhusiwa kutumia mswaki kwa mtu aliyefunga wakati wowote ule, sawasawa iwe ni kabla ya kuzama kwa jua kwa kuingia jioni au baada ya hapo, na vilevile uwe mswaki wenyewe uko majimaji au mkavu, lakini anatahadharishwa aliyefunga ikiwa mswaki anaotumia uko majimaji kusije kukaingia chochote kooni wakati anapiga mswaki; kwa sababu kuingia kwa kitu kooni kunaharibu saumu yake.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668042
TodayToday730
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 23

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68669c122122619976556121751555090
title_68669c12213108441554001751555090
title_68669c12213f611807435721751555090

NISHATI ZA OFISI

title_68669c12229e915233395891751555090
title_68669c1222ac51836088421751555090
title_68669c1222b9b10634934991751555090 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com