Menu

SOMO LA FIQHI


  somo lafiqhi


Suala: Ni nini Maana ya ihram (Kuhirimia)

Jawabu: Maana ya Ihram kilugha: Ni kuzuia

Ama maana ya Kuhirimia kisheria:

"Ni nia ya kuingia kwenye ibada ikifungamana na mojawapo ya matendo ya Hijja"

Na haifungamani Iharamu ila kwa nia, Mtu hahisabiwi kuwa amehirimia kwa kule kuazimia kwenda hijja au Umra kwa sababu toka aliposafiri mji wake huwa ameazimia kuhiji au kufanya umra, na wala hawi ni mwenye kuhirimia kwa kuvaa ihram au kuleta talbiya bila kutia nia ya ibada ya hijja kwa neno lake Mtume :

 

إنما الأعمال بالنيات وإنما لكل امرئ ما نوى]       متفق عليه]

 

[Hakika amali zote ni kwa nia na kila mtu hulipwa kama alivyo nuiya]   [Imepokewa na Bukhari na Muslim.].


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785743
TodayToday744
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 9

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9c2220ee9d13576810791755955746
title_68a9c2220ef8623860071755955746
title_68a9c2220f06a3776423631755955746

NISHATI ZA OFISI

title_68a9c222105b620701382111755955746
title_68a9c222106981637701741755955746
title_68a9c2221077510907374491755955746 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com