Menu

SOMO LA FIQHI


  somo lafiqhi


Suala: Ni nini Maana ya ihram (Kuhirimia)

Jawabu: Maana ya Ihram kilugha: Ni kuzuia

Ama maana ya Kuhirimia kisheria:

"Ni nia ya kuingia kwenye ibada ikifungamana na mojawapo ya matendo ya Hijja"

Na haifungamani Iharamu ila kwa nia, Mtu hahisabiwi kuwa amehirimia kwa kule kuazimia kwenda hijja au Umra kwa sababu toka aliposafiri mji wake huwa ameazimia kuhiji au kufanya umra, na wala hawi ni mwenye kuhirimia kwa kuvaa ihram au kuleta talbiya bila kutia nia ya ibada ya hijja kwa neno lake Mtume :

 

إنما الأعمال بالنيات وإنما لكل امرئ ما نوى]       متفق عليه]

 

[Hakika amali zote ni kwa nia na kila mtu hulipwa kama alivyo nuiya]   [Imepokewa na Bukhari na Muslim.].


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668627
TodayToday292
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 644

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f18c1cc92a713858697891777437724
title_69f18c1cc93109004032301777437724
title_69f18c1cc936c18716467581777437724

NISHATI ZA OFISI

title_69f18c1ce0faa15931112001777437724
title_69f18c1ce0ffd17618149801777437724
title_69f18c1ce102e1027987371777437724 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com