Menu

SOMO LA FIQHI


  somo lafiqhi


Suala: Ni nini Maana ya ihram (Kuhirimia)

Jawabu: Maana ya Ihram kilugha: Ni kuzuia

Ama maana ya Kuhirimia kisheria:

"Ni nia ya kuingia kwenye ibada ikifungamana na mojawapo ya matendo ya Hijja"

Na haifungamani Iharamu ila kwa nia, Mtu hahisabiwi kuwa amehirimia kwa kule kuazimia kwenda hijja au Umra kwa sababu toka aliposafiri mji wake huwa ameazimia kuhiji au kufanya umra, na wala hawi ni mwenye kuhirimia kwa kuvaa ihram au kuleta talbiya bila kutia nia ya ibada ya hijja kwa neno lake Mtume :

 

إنما الأعمال بالنيات وإنما لكل امرئ ما نوى]       متفق عليه]

 

[Hakika amali zote ni kwa nia na kila mtu hulipwa kama alivyo nuiya]   [Imepokewa na Bukhari na Muslim.].


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887001
TodayToday134
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 75

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7e43b02735205928691782283843
title_6a3b7e43b02c210971323101782283843
title_6a3b7e43b030f16635795571782283843

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7e43b08a95497963671782283843
title_6a3b7e43b08f69467656861782283843
title_6a3b7e43b094110065119291782283843 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com