Menu

SOMO LA FIQHI


  somo lafiqhi


Suala: Ni nini Maana ya ihram (Kuhirimia)

Jawabu: Maana ya Ihram kilugha: Ni kuzuia

Ama maana ya Kuhirimia kisheria:

"Ni nia ya kuingia kwenye ibada ikifungamana na mojawapo ya matendo ya Hijja"

Na haifungamani Iharamu ila kwa nia, Mtu hahisabiwi kuwa amehirimia kwa kule kuazimia kwenda hijja au Umra kwa sababu toka aliposafiri mji wake huwa ameazimia kuhiji au kufanya umra, na wala hawi ni mwenye kuhirimia kwa kuvaa ihram au kuleta talbiya bila kutia nia ya ibada ya hijja kwa neno lake Mtume :

 

إنما الأعمال بالنيات وإنما لكل امرئ ما نوى]       متفق عليه]

 

[Hakika amali zote ni kwa nia na kila mtu hulipwa kama alivyo nuiya]   [Imepokewa na Bukhari na Muslim.].


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668086
TodayToday774
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 9

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866a7058e1cc1154110771751557893
title_6866a7058e31a11757074131751557893
title_6866a705a2776234613191751557893

NISHATI ZA OFISI

title_6866a705a278012156559701751557893
title_6866a705a28f66298690831751557893
title_6866a705a2a2e4313082671751557893 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com