Menu

 

JE MUME HULAZIMIKA KUGAWA SIKU IKIWA AMESAFIRI NA MMOJA KATIKA WAKE ZAKE?

 

Swali:
Ikiwa mume yuko na wake wawili na akasafiri na mmoja katika wake zake je akirudi kutoka safari huwa ni lazima akidhi siku zile alizokuwa safarini kwa mke aliebaki?

Jawabu:
Mume anapotaka kusafiri na mmoja katika wake zake kwa haja yake mume humlazimu kupiga kura kati ya wake zake, yule kura itakayo mtokea ndie atasafiri na mume wake, na kwa hali hii huwa mume haimlazimu akirudi kutoka safarini kukidhi siku alizo kuwa safarini kwa mke alio baki. Ama safari ikiwa ni kwa haja ya mkewe ima kwa matibabu au kuwazuru jamaa zake, basi mume atakapo rudi atakidhi siku zile alizokuwa safarini na mke yule aliesafiri nayeye, kwa sababu safari ilikuwa ni kwa haja ya mkewe na uadilifu nikuwa akirudi basi huwa ni akidhi siku kama zile.


Na Allah ndie mjuzi zaidi

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669886
TodayToday1551
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 308

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f1aaa6b875210736357631777445542
title_69f1aaa6b87a119131630331777445542
title_69f1aaa6b87ed1038045691777445542

NISHATI ZA OFISI

title_69f1aaa6b8d6f3463837251777445542
title_69f1aaa6b8dbc20450912801777445542
title_69f1aaa6b8e0716911605251777445542 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com