Menu

 

JE MUME HULAZIMIKA KUGAWA SIKU IKIWA AMESAFIRI NA MMOJA KATIKA WAKE ZAKE?

 

Swali:
Ikiwa mume yuko na wake wawili na akasafiri na mmoja katika wake zake je akirudi kutoka safari huwa ni lazima akidhi siku zile alizokuwa safarini kwa mke aliebaki?

Jawabu:
Mume anapotaka kusafiri na mmoja katika wake zake kwa haja yake mume humlazimu kupiga kura kati ya wake zake, yule kura itakayo mtokea ndie atasafiri na mume wake, na kwa hali hii huwa mume haimlazimu akirudi kutoka safarini kukidhi siku alizo kuwa safarini kwa mke alio baki. Ama safari ikiwa ni kwa haja ya mkewe ima kwa matibabu au kuwazuru jamaa zake, basi mume atakapo rudi atakidhi siku zile alizokuwa safarini na mke yule aliesafiri nayeye, kwa sababu safari ilikuwa ni kwa haja ya mkewe na uadilifu nikuwa akirudi basi huwa ni akidhi siku kama zile.


Na Allah ndie mjuzi zaidi

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031726
TodayToday809
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 142

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d80de78ad78612680811787658462
title_6a8d80de78b2819986215201787658462
title_6a8d80de78b7420899639861787658462

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d80de7916c3775974241787658462
title_6a8d80de791bb17405579341787658462
title_6a8d80de7920620685889041787658462 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com