Menu

JE YAFAA KWA MWANAMKE ALIE KWENYE HEDHI KUOSHA MAITI?


Hakuna aya wala Hadithi inayomkata Mwanamke alie kwenye Hedhi kuosha Maiti,au kuhudhuria anapooshwa Maiti,wala hatujui Hadithi kutoka kwa Bwana Mtume  kuhusu jambo hili,wala hatuji yoyote katika Wanachuoni walioharamisha jambo ilo isipokuwa imepokewa kwa baadhi ya wema waliotangulia kama Hasan Al Basari na Ibnu Siriin wamechukia jambo hilo,kama alivyo pokea Ibnu Abii Shayba katika Muswannaf yake


Chanzo: islamweb.net


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887141
TodayToday274
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 38

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba1d87d0c39031810461782292952
title_6a3ba1d87d11210250310391782292952
title_6a3ba1d87d15f958937511782292952

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba1d87d6ee7855976211782292952
title_6a3ba1d87d73c10121549351782292952
title_6a3ba1d87d78919219574501782292952 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com