Menu

JE YAFAA KWA MWANAMKE ALIE KWENYE HEDHI KUOSHA MAITI?


Hakuna aya wala Hadithi inayomkata Mwanamke alie kwenye Hedhi kuosha Maiti,au kuhudhuria anapooshwa Maiti,wala hatujui Hadithi kutoka kwa Bwana Mtume  kuhusu jambo hili,wala hatuji yoyote katika Wanachuoni walioharamisha jambo ilo isipokuwa imepokewa kwa baadhi ya wema waliotangulia kama Hasan Al Basari na Ibnu Siriin wamechukia jambo hilo,kama alivyo pokea Ibnu Abii Shayba katika Muswannaf yake


Chanzo: islamweb.net


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031726
TodayToday809
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 142

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d80dec2d1a3862467211787658462
title_6a8d80dec2d7e13663105831787658462
title_6a8d80dec2ddb15262641501787658462

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d80dec35c11065806611787658462
title_6a8d80dec36222020124771787658462
title_6a8d80dec36806855179521787658462 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com