Menu

JE YAFAA KWA MWANAMKE ALIE KWENYE HEDHI KUOSHA MAITI?


Hakuna aya wala Hadithi inayomkata Mwanamke alie kwenye Hedhi kuosha Maiti,au kuhudhuria anapooshwa Maiti,wala hatujui Hadithi kutoka kwa Bwana Mtume  kuhusu jambo hili,wala hatuji yoyote katika Wanachuoni walioharamisha jambo ilo isipokuwa imepokewa kwa baadhi ya wema waliotangulia kama Hasan Al Basari na Ibnu Siriin wamechukia jambo hilo,kama alivyo pokea Ibnu Abii Shayba katika Muswannaf yake


Chanzo: islamweb.net


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669229
TodayToday894
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 224

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19bef3e7be3672274491777441775
title_69f19bef3e80f4193585601777441775
title_69f19bef3e85c12350414591777441775

NISHATI ZA OFISI

title_69f19bef3ee0c17917298981777441775
title_69f19bef3ee594877480191777441775
title_69f19bef3ee781362713791777441775 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 10 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com