Menu

 

JE INAFAA KWA MWANAMKE KUKIHAMA KITANDA CHA MUMEWE IKIWA MUME UKO NA UGONJWA?

 

Suali: Je inafaa kwa Mwanamke kukihama kitanda cha mumewe ikiwa Mume uko na ugonjwa?

Jawabu: Niwajibu kwa mwanamke kumtii mumewe na kumtekelezea haja zake zote anazo hitajia, ikiwemo haki ya kulala nayeye, na haifai kwa mwanamke kukihama kitanda cha mumewe asipokuwa na udhuru wa kisheria,amepokea Abuu Hurayrah radhi za Allah ziwe juu yake kutoka kwa Mtume amesema:

 

إذا دعا الرجل امرأته إلى فراشه فأبت أن تجيء لعنتها الملائكة حتى تصبح.]     متفق عليه]

 

[Mume atakapo mwita mkewe katika kitanda chake,(mwanamke) akakataa kumjilia, basi hulaniwa na Malaika mpaka ipamzuke]   [Imepokelewa na Bukharin a Muslim]

Lakini ikiwa mwanamume amepatikana na ugonjwa wakuambukiza,na mke akakhofia kuambukizwa na ugonjwa ule,au akawa mume anajambo la kukirihisha lisilo wezekana kwa mtu kustahimili, basi anapo kataa kumuitikie mumewe hahisabiwi kuwa ameasi,na kwa hali hii mwanamke anakuwa na khiyari baina ya kutaka talaka, au kumsubiria mumewe,ama ikiwa ugonjwa si wakuambukiza wala siudhia ambao hausthimiliki basi mwanamke anakuwa hana udhuru wakukata kumuitikia mumewe anapo mtaka kulala na yeye ,na akikataa huhisabiwa kuwa ameasi, na mume atakuwa na haki kumyima haki zake nyingine kama chakula na mavazi na malazi na mengineo.

Na Allah ndie mjuzi Zaidi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887310
TodayToday443
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 144

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bc2605e88212334203991782301280
title_6a3bc2605e8e74424127011782301280
title_6a3bc2605e94716413130861782301280

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bc2605f61315539771851782301280
title_6a3bc2605f67310424851481782301280
title_6a3bc2605f6cf11906303371782301280 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com