Menu

 

JE INAFAA KWA MWANAMKE KUKIHAMA KITANDA CHA MUMEWE IKIWA MUME UKO NA UGONJWA?

 

Suali: Je inafaa kwa Mwanamke kukihama kitanda cha mumewe ikiwa Mume uko na ugonjwa?

Jawabu: Niwajibu kwa mwanamke kumtii mumewe na kumtekelezea haja zake zote anazo hitajia, ikiwemo haki ya kulala nayeye, na haifai kwa mwanamke kukihama kitanda cha mumewe asipokuwa na udhuru wa kisheria,amepokea Abuu Hurayrah radhi za Allah ziwe juu yake kutoka kwa Mtume amesema:

 

إذا دعا الرجل امرأته إلى فراشه فأبت أن تجيء لعنتها الملائكة حتى تصبح.]     متفق عليه]

 

[Mume atakapo mwita mkewe katika kitanda chake,(mwanamke) akakataa kumjilia, basi hulaniwa na Malaika mpaka ipamzuke]   [Imepokelewa na Bukharin a Muslim]

Lakini ikiwa mwanamume amepatikana na ugonjwa wakuambukiza,na mke akakhofia kuambukizwa na ugonjwa ule,au akawa mume anajambo la kukirihisha lisilo wezekana kwa mtu kustahimili, basi anapo kataa kumuitikie mumewe hahisabiwi kuwa ameasi,na kwa hali hii mwanamke anakuwa na khiyari baina ya kutaka talaka, au kumsubiria mumewe,ama ikiwa ugonjwa si wakuambukiza wala siudhia ambao hausthimiliki basi mwanamke anakuwa hana udhuru wakukata kumuitikia mumewe anapo mtaka kulala na yeye ,na akikataa huhisabiwa kuwa ameasi, na mume atakuwa na haki kumyima haki zake nyingine kama chakula na mavazi na malazi na mengineo.

Na Allah ndie mjuzi Zaidi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031726
TodayToday809
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 142

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d80df4afd113334223821787658463
title_6a8d80df4b02112801412061787658463
title_6a8d80df4b06d839670011787658463

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d80df4b6a512692616811787658463
title_6a8d80df4b6f39781774031787658463
title_6a8d80df4b74212861626691787658463 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com