Menu

 

JE INAFAA KWA MWANAMKE KUKIHAMA KITANDA CHA MUMEWE IKIWA MUME UKO NA UGONJWA?

 

Suali: Je inafaa kwa Mwanamke kukihama kitanda cha mumewe ikiwa Mume uko na ugonjwa?

Jawabu: Niwajibu kwa mwanamke kumtii mumewe na kumtekelezea haja zake zote anazo hitajia, ikiwemo haki ya kulala nayeye, na haifai kwa mwanamke kukihama kitanda cha mumewe asipokuwa na udhuru wa kisheria,amepokea Abuu Hurayrah radhi za Allah ziwe juu yake kutoka kwa Mtume amesema:

 

إذا دعا الرجل امرأته إلى فراشه فأبت أن تجيء لعنتها الملائكة حتى تصبح.]     متفق عليه]

 

[Mume atakapo mwita mkewe katika kitanda chake,(mwanamke) akakataa kumjilia, basi hulaniwa na Malaika mpaka ipamzuke]   [Imepokelewa na Bukharin a Muslim]

Lakini ikiwa mwanamume amepatikana na ugonjwa wakuambukiza,na mke akakhofia kuambukizwa na ugonjwa ule,au akawa mume anajambo la kukirihisha lisilo wezekana kwa mtu kustahimili, basi anapo kataa kumuitikie mumewe hahisabiwi kuwa ameasi,na kwa hali hii mwanamke anakuwa na khiyari baina ya kutaka talaka, au kumsubiria mumewe,ama ikiwa ugonjwa si wakuambukiza wala siudhia ambao hausthimiliki basi mwanamke anakuwa hana udhuru wakukata kumuitikia mumewe anapo mtaka kulala na yeye ,na akikataa huhisabiwa kuwa ameasi, na mume atakuwa na haki kumyima haki zake nyingine kama chakula na mavazi na malazi na mengineo.

Na Allah ndie mjuzi Zaidi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6707893
TodayToday825
Highest 07-09-2025 : 5269
US
Guests 20

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_687bd498d056711726399611752945816
title_687bd498d065218162061251752945816
title_687bd498d07346420555341752945816

NISHATI ZA OFISI

title_687bd498d1cc04511089601752945816
title_687bd498d1da310126118251752945816
title_687bd498d1e8413797462731752945816 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com