Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


Darul Arqam


Darul AI-Arqam: 

Mtume alipoona mateso ya kinyama yaliokuwa wakifanyiwa Waislamu yamekithiri, alifikiria ni busara kuwashauri wafuasi wake kuficha kusilimu kwao, kwa maneno na vitendo. Aliamua kukutana nao kwa siri ili Makuraishi wasijue mipango yake na hivyo kuchukuahatua ambazo zingeweza kuzuia kufikiwa malengo yake. Pia Mtume  alitaka kuepuka mapambano ya wazi na Mushirikina, kwa sababu kitendo hicho katika siku za mwanzo za ulinganiaji kisingesaidia - Imani mpya na changa yenye ulinganiaji kisingesaidia - Imani mpya na changa yenye kudhuriwa. 

Siku moja katika mwaka wa nne wa Utume, Waislamu walipokuwa njiani kuelekea kwenye vilima vya Makka kuhudhuria mkutano wa siri na Mtume , kundi la Mushirikina liliutuhumu msafara huo na kuanza kuwaghasi na kuwapiga.

Sa'd bin Abi Waqqas (Radhi za Allah ziwe juu yake) alimpiga Mushiriki mmoja na kumwaga damu yake na hili ndilo lililokuwa tukio la kwanza la umwagaji damu katika historia ya Uislamu.

Kwa upande mwengine, Mtume alikuwa akitangaza Imani ya Uislamu na kuhubirl kwa wazi, kwa moyo mkunjufu na bidii, kwa maslahi ya mustakabali wa jamii na Waislamu wapya. Kwa kuzingatia stratejia ya kueneza Uislamu, aliamua kuanzisha kituo cha Kiislamu katika Dar AI-Arqam, nyumba iliopo katika milima vya  Swafa.

Kituo hiki cha muda kilianzishwa mwaka wa tano kuanzia kupewa utume.*


* Arraheeq Al Makhtuum 157


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6573208
TodayToday1275
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 29

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6828805165f2c14425291671747484753
title_682880516609220070414281747484753
title_68288051661f620077692031747484753

NISHATI ZA OFISI

title_6828805172bb817862585991747484753
title_6828805172c9f19696253711747484753
title_6828805172d752060209851747484753 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com