Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


maqurysh


Ibnu Ishaq amesema: 'Walikwenda watu kati ya watukufu wa Makuraishi kwa Abu Twalib, wakamweleza, Ewe Abu Twalib, hakika mtoto wa ndugu yako ametukana miungu yetu, ameitia dosari dini ye tu, ametupuuza na amewahusisha baba zetu na upotevu. Tunakuomba umzuie au tuachie tumshike, kwani kwa hakika hata wewe pia unaamini kile tunachokiamini sisi, kwa hiyo sisi tutakutenganisha naye.'  Abu Twalib akawaeleza maneno laini, na kuwapoza hasira walizokuwa nazo, wakaondoka kutoka kwake na Mjumbe wa Mwenyezi Mungu akaendelea kuidhihirisha Dini yake na kuwaita watu kwenye Dini hiyo.(1)


1 Ibn Hisham, Juzuu I, Uk. 265.

* Arraheeq Al Makhtum 132-133


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785132
TodayToday133
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 16

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a952b9b751c6713458781755927225
title_68a952b9b760514911660261755927225
title_68a952b9b76f316474188071755927225

NISHATI ZA OFISI

title_68a952b9b8c8f15090971461755927225
title_68a952b9b8d7213283904381755927225
title_68a952b9b8e5b5790996361755927225 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com