Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


maqurysh


Ibnu Ishaq amesema: 'Walikwenda watu kati ya watukufu wa Makuraishi kwa Abu Twalib, wakamweleza, Ewe Abu Twalib, hakika mtoto wa ndugu yako ametukana miungu yetu, ameitia dosari dini ye tu, ametupuuza na amewahusisha baba zetu na upotevu. Tunakuomba umzuie au tuachie tumshike, kwani kwa hakika hata wewe pia unaamini kile tunachokiamini sisi, kwa hiyo sisi tutakutenganisha naye.'  Abu Twalib akawaeleza maneno laini, na kuwapoza hasira walizokuwa nazo, wakaondoka kutoka kwake na Mjumbe wa Mwenyezi Mungu akaendelea kuidhihirisha Dini yake na kuwaita watu kwenye Dini hiyo.(1)


1 Ibn Hisham, Juzuu I, Uk. 265.

* Arraheeq Al Makhtum 132-133


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887009
TodayToday142
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 68

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7f5fefe9b3993082261782284127
title_6a3b7f5fefeea9080449811782284127
title_6a3b7f5feff3512265437511782284127

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7f5ff04f68871918021782284127
title_6a3b7f5ff05423944682761782284127
title_6a3b7f5ff058e12616789231782284127 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com