Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


maqurysh


Ibnu Ishaq amesema: 'Walikwenda watu kati ya watukufu wa Makuraishi kwa Abu Twalib, wakamweleza, Ewe Abu Twalib, hakika mtoto wa ndugu yako ametukana miungu yetu, ameitia dosari dini ye tu, ametupuuza na amewahusisha baba zetu na upotevu. Tunakuomba umzuie au tuachie tumshike, kwani kwa hakika hata wewe pia unaamini kile tunachokiamini sisi, kwa hiyo sisi tutakutenganisha naye.'  Abu Twalib akawaeleza maneno laini, na kuwapoza hasira walizokuwa nazo, wakaondoka kutoka kwake na Mjumbe wa Mwenyezi Mungu akaendelea kuidhihirisha Dini yake na kuwaita watu kwenye Dini hiyo.(1)


1 Ibn Hisham, Juzuu I, Uk. 265.

* Arraheeq Al Makhtum 132-133


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6573171
TodayToday1238
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 14

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68287ca6c6ebb9659007091747483814
title_68287ca6c6fad20844754031747483814
title_68287ca6c709712105840491747483814

NISHATI ZA OFISI

title_68287ca6c87e313849916701747483814
title_68287ca6c88d412025752301747483814
title_68287ca6c89b417409029611747483814 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com