Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


maqurysh


Ibnu Ishaq amesema: 'Walikwenda watu kati ya watukufu wa Makuraishi kwa Abu Twalib, wakamweleza, Ewe Abu Twalib, hakika mtoto wa ndugu yako ametukana miungu yetu, ameitia dosari dini ye tu, ametupuuza na amewahusisha baba zetu na upotevu. Tunakuomba umzuie au tuachie tumshike, kwani kwa hakika hata wewe pia unaamini kile tunachokiamini sisi, kwa hiyo sisi tutakutenganisha naye.'  Abu Twalib akawaeleza maneno laini, na kuwapoza hasira walizokuwa nazo, wakaondoka kutoka kwake na Mjumbe wa Mwenyezi Mungu akaendelea kuidhihirisha Dini yake na kuwaita watu kwenye Dini hiyo.(1)


1 Ibn Hisham, Juzuu I, Uk. 265.

* Arraheeq Al Makhtum 132-133


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668020
TodayToday708
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 12

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_686694ca9b75916565373161751553226
title_686694ca9b83a8671383051751553226
title_686694ca9b91010505901751553226

NISHATI ZA OFISI

title_686694ca9ceca14034352851751553226
title_686694ca9cfa68478615741751553226
title_686694ca9d07e15764738281751553226 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com