Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


MAKHTUUM


Inawezekana kuzigawa nyakati za Da'uia (wito) ya Mtume  kwenye vipindi viwili vilivyo kamilika kama ifuatavyo: 

1). Kipindi cha Makka

kilichochukua takriban miaka kumi na mitatu.

2). Kipindi cha Madina

kilichochukuwa takriban miaka kumi kamili. 

Kila kimoja katika vipindi hivyo viwili vinakusanya awamu; kila awamu ina mambo ya pekee yaliyokuwa tofauti na mambo ya awamu nyingine, na hilo limedhihiri, baada ya uchunguzi wa kina katika mazingira ambayo Da'wa yalipitia katika vipindi hivyo viwili. Tunaweza kukigawa kipindi cha Makka katika awamu tatu. 

(1). Awamu ya Da'wa ya siri, miaka mitatu.

(2). Awamu ya kutangaza Da'wa kwa watu wa Makka tokea mwanzoni mwa mwaka wa nne wa Utume, mpaka mwisho mwa mwaka wa kumi.

(3). Awamu ya Da'wa nje ya Makka, tokea mwisho wa mwaka wa kumi wa Utume mpaka kuhama kwake Mtume  kuelekea Madina. 
Ufafanuzi na Awamu ya Madina utaelezwa peke yake.*


* Ar-Raheeq Al Makhtum 117


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031727
TodayToday810
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 137

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d816116e69467950611787658593
title_6a8d816116eca9992054861787658593
title_6a8d816116f2810641708551787658593

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d81611775a7603606001787658593
title_6a8d8161177bb18128251031787658593
title_6a8d81611781a2141434191787658593 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com