Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


MAKHTUUM


Inawezekana kuzigawa nyakati za Da'uia (wito) ya Mtume  kwenye vipindi viwili vilivyo kamilika kama ifuatavyo: 

1). Kipindi cha Makka

kilichochukua takriban miaka kumi na mitatu.

2). Kipindi cha Madina

kilichochukuwa takriban miaka kumi kamili. 

Kila kimoja katika vipindi hivyo viwili vinakusanya awamu; kila awamu ina mambo ya pekee yaliyokuwa tofauti na mambo ya awamu nyingine, na hilo limedhihiri, baada ya uchunguzi wa kina katika mazingira ambayo Da'wa yalipitia katika vipindi hivyo viwili. Tunaweza kukigawa kipindi cha Makka katika awamu tatu. 

(1). Awamu ya Da'wa ya siri, miaka mitatu.

(2). Awamu ya kutangaza Da'wa kwa watu wa Makka tokea mwanzoni mwa mwaka wa nne wa Utume, mpaka mwisho mwa mwaka wa kumi.

(3). Awamu ya Da'wa nje ya Makka, tokea mwisho wa mwaka wa kumi wa Utume mpaka kuhama kwake Mtume  kuelekea Madina. 
Ufafanuzi na Awamu ya Madina utaelezwa peke yake.*


* Ar-Raheeq Al Makhtum 117


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668196
TodayToday7959
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 282

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e7dca36518639506861777434237
title_69f17e7dca3c02217972111777434237
title_69f17e7dca40f5127308921777434237

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e7dcaae916616737871777434237
title_69f17e7dcab382329059281777434237
title_69f17e7dcab857274212031777434237 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com