Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


MAKHTUUM


Inawezekana kuzigawa nyakati za Da'uia (wito) ya Mtume  kwenye vipindi viwili vilivyo kamilika kama ifuatavyo: 

1). Kipindi cha Makka

kilichochukua takriban miaka kumi na mitatu.

2). Kipindi cha Madina

kilichochukuwa takriban miaka kumi kamili. 

Kila kimoja katika vipindi hivyo viwili vinakusanya awamu; kila awamu ina mambo ya pekee yaliyokuwa tofauti na mambo ya awamu nyingine, na hilo limedhihiri, baada ya uchunguzi wa kina katika mazingira ambayo Da'wa yalipitia katika vipindi hivyo viwili. Tunaweza kukigawa kipindi cha Makka katika awamu tatu. 

(1). Awamu ya Da'wa ya siri, miaka mitatu.

(2). Awamu ya kutangaza Da'wa kwa watu wa Makka tokea mwanzoni mwa mwaka wa nne wa Utume, mpaka mwisho mwa mwaka wa kumi.

(3). Awamu ya Da'wa nje ya Makka, tokea mwisho wa mwaka wa kumi wa Utume mpaka kuhama kwake Mtume  kuelekea Madina. 
Ufafanuzi na Awamu ya Madina utaelezwa peke yake.*


* Ar-Raheeq Al Makhtum 117


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887141
TodayToday274
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 38

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba19392a558364969541782292883
title_6a3ba19392aaa14158025211782292883
title_6a3ba19392af77459855171782292883

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba193930c916145461421782292883
title_6a3ba1939311712187093811782292883
title_6a3ba193931643759780121782292883 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com