Menu

KUSILIMU KWA MYAHOODI RABII YOUSEF COHEN


20121213 123933836166963


Rabii Yousef Cohen alizaliwa Brooklyn, Amerika mwaka wa 1971, alikuwa mfuasi wa satmar, kikundi katika makundi ya kiyahoodi akiitwa Joseph Cohen. Alioa Lona Cohen myahood kama yeye na wakajaaliwa watoto wane.

Mwaka wa 1998, alisafiri Israeli na kuishi katika makaazi ya Ghosh Gatif, katika ukanda wa Gaza na baadaye akaghura kwenda Netivot kusini mwa Israeli. Rabii Yousef Cohen alikutan na Waislam kwa mara ya kwanza katika safari yake ya mara kwa mara katika soko la zamani huko Jerusalem, na akapewa kwa mara ya kwanza tafsir ya Quraan kwa lugha ya kiingereza.
Katika mahojiano na channel 10 TV alisema,
Nilipofunguwa Quran [tafsir] kwa mara ya kwanza, sikuweza kuiweka chini. Nikile nilikuwa
Naamini vile uyahoodi unatakiwa uwe. Kila kukosolewa kwa wayahood katika Quraan kulikuwa
Sawa na bila chuki. Bila shaka Allah akituonyesha wayahood, namna ya kujirudi wenyewe na
Kuirudia Haki [Uislam] ya Mwenyezi Mungu’

29 12 2009 10 37 499531

Baada ya utafiti wake, Rabii Yousef Cohen alimkabili mkewe Lona Cohen, mfuasi sugu wa uyahoodi akisema, nakupenda, na nataka kuwa mkweli kwako……… nimesoma Quraan, na nakubaliana na yote yaliyoko ndani yake, na nikiendelea mimi nina dini ya uyahoodi ntakuwa si mkweli’.
Baada ya mazungumzo hayo na mkewe, alisilimu na kupewa jina, Yousef Mohammad al Khattab, mkewe alishtuka mno, naye akaanza kutafiti kwa msaada wa mumewe,na baada ya majuma matatu, Lona Cohen pamoja na wanawe wanne wakasilimu na kuiacha dini ya uyahood.

Muda mchache walihama hadi Al-Toor magharibi mwa Jerusalem wanako ishi hata leo. Al-Khattab anafanya kazi katika shirika la Kiislam, na mno anawalingania wayahoodi waje katika Uislam. Kitendo hichi cha kuwalingania wayahoodi Uislam kimemfanya achukiwe sana katika Israeli na kupendwa san asana na jamii ya Waislam.

Angalia kitabu
They are extremely smart or
Extremely ignorant


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785829
TodayToday830
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9d42862e8c16001468131755960360
title_68a9d4286300111863655041755960360
title_68a9d4286317b21085734071755960360

NISHATI ZA OFISI

title_68a9d428654e713325453061755960360
title_68a9d4286563e17434055611755960360
title_68a9d4286578c20997167031755960360 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com