Menu

MASHARTI YA KUPUNGUZA SWALA


 

Suali: Ni yapi Masharti ya kupunguza Swala ? Na kupunguza Swala inaisha mda gani ?

Jawabu: Ama baada ya kumshukuru na kumhimidi Mwenyezi Mungu na kumswalia Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake :
Ni sharti kwa mtu anaetaka kupunguza Swala: awe mtu huyo ni msafiri ambae safari yake ya kwenda inafika kiwango cha kupunguza Swala nayo ni Burd nne ambayo ni sawa na kilo mita Themanini na tatu (83) takriban. Na iwe safari yake ni kwa ajili ya kumtii Mwenyezi Mungu au jambo la halali.

Na kupunguza Swala kunaisha kwa mtu kufika katika Nchi yake au Mji wake , au katika sehemu ambayo kuna mke wake ambae ameshamuingilia, au kwa nia ya kukaa siku Nne na zaidi. Na Swala zinazopunguzwa ni Swala zenye rakaa Nnne peke yake, ambazo ni Adhuhuri, Al Asiri, na Ishaa.
Na ALLAH ndie mjuzi zaidi


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7886999
TodayToday132
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 56

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7e00325d9192114861782283776
title_6a3b7e003262c11555060541782283776
title_6a3b7e003267817942461641782283776

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7e0032c244815896781782283776
title_6a3b7e0032c722969163681782283776
title_6a3b7e0032cbe7596008011782283776 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com