Menu

HUKMU YA KUVAA NIQAAB KATIKA IBADA YA UMRA NA HAJJI


SWALI: Nini hukumu ya mwanamke alie hirimia umra kisha akavaa Niqaab na kufinika uso wake?

JAWABU: Mwanamke akihirimia ibada ya umra au hajji huwa haifai kufinika uso wake kwa kuvaa niqaab au kuvaa soksi za mikono,kama ilivyo kuja katika hadithi ya Mtume kuhusu Mwanamke alie hirimia

 

 

عن ابن عمر رضي الله عنهما أن رسول صلى الله عليه وسلم قال : " لاتنتقب المرأة المحرمة ولا تلبس القفازين " . رواه البخاري

 

Kutoka kwa Ibnu Umar radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake kwamba Mtume amesema: [Asivae niqaabu  mwanamke alie kwenye ihramu na asivae soksi za mikono]    [imepokewa na Bukhari]
Lakini ikiwa atafunika uso wake kwa kutojua hukmu yake au kwa kusahau atakuwa hawajibiki na kitu chochote ,lakini kama alikuwa anajua basi atakuwa na khiyari kufanya moja katika mambo matatu,ima afunge siku tatu,au alishe masikini sita kila maskini nusu ya pishi,au achinje mbuzi na aigawe nyama yake kwa masikini wa mji wa makkah.

Na Mwenyezi Mungu ndie mjuzi zaidi.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887004
TodayToday137
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 54

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7ebb16ad116077208261782283963
title_6a3b7ebb16b2120942773781782283963
title_6a3b7ebb16b6d7038348321782283963

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7ebb1716a9383097211782283963
title_6a3b7ebb171b817842759521782283963
title_6a3b7ebb1720413569640721782283963 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com