BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن عبد اللَّه بن عَمْرو بن الْعاص رضي اللَّه عنهما عن النَّبِيِّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «الْمُسْلِمُ مَنْ سَلِمَ الْمُسْلِمُونَ مِنْ لِسانِهِ ويَدِهِ ، والْمُهَاجِرُ مَنْ هَجَرَ ما نَهَى اللَّه عَنْهُ »    متفق عليه


Kutoka kwa AbduLLaah bin ‘Amru bin Al-‘Aasw Radhi za Allah ziwe juu yao kuwa Mtume ﷺ amesema: [Muislamu ni yule ambaye Waislaam wamesalimika kutokana na ulimi wake na mkono wake, na Muhajir (mwenye kuhama) ni yule anayehama yale aliyoyakataza Mwenyezi Mungu.]     [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



comments