Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي زيدٍ أُسامة بْنِ حَارثَةَ ، رضي اللَّه عنهما ، قال : سَمِعْتُ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يَقُولُ : « يُؤْتَـى بالرَّجُلِ يَوْمَ الْقِيامةِ فَيُلْقَى في النَّار ، فَتَنْدلِقُ أَقْتَابُ بَطْنِهِ ، فيَدُورُ بِهَا كَمَا يَدُورُ الحِمَارُ في الرَّحا ، فَيجْتَمِعُ إِلَيْهِ أَهْلُ النَّار فَيَقُولُونَ : يَا فُلانُ مَالَكَ ؟ أَلَمْ تَكُن تَأْمُرُ بالمَعْرُوفِ وَتَنْهَى عَنِ المُنْكَرِ ؟ فَيَقُولُ : بَلَى ، كُنْتُ آمُرُ بالمَعْرُوفِ وَلاَ آتِيه ، وَأَنْهَى عَنِ المُنْكَرِ وَآَتِيهِ »   متفق عليه


Kutoka kwa Abuu Zayd Usaamah bin Zayd bin Haarithah Radhi za Allah ziwe juu yake Amesema: Nimemsikia Mtume ﷺ akisema: [Ataletwa mtu siku ya Qiyama na atiwe motoni. Matumbo yake yatatoka nje awe akizunguka nayo kama vile anavyozunguka punda katika kinu (anapokuwa anasaga) ” Watu wa motoni watakumkusanyikia na waseme: “Ee Fulani, mbona uko hivyo ? Si uliokuwa ukituamrisha mema na kutukataza maovu?” Naye atasema: “Ndio, nilikuwa nikiamrisha mema wala sifanyi na nilikuwa nikikataza maovu na nikiyaendea]    [Imepokewa na Bukhari, Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668230
TodayToday7993
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 335

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f4e80d7520175143871777434446
title_69f17f4e80dc613330090341777434446
title_69f17f4e80e133122706211777434446

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f4e814334911602241777434446
title_69f17f4e814827953197291777434446
title_69f17f4e814cf9305373401777434446 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com