Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي زيدٍ أُسامة بْنِ حَارثَةَ ، رضي اللَّه عنهما ، قال : سَمِعْتُ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يَقُولُ : « يُؤْتَـى بالرَّجُلِ يَوْمَ الْقِيامةِ فَيُلْقَى في النَّار ، فَتَنْدلِقُ أَقْتَابُ بَطْنِهِ ، فيَدُورُ بِهَا كَمَا يَدُورُ الحِمَارُ في الرَّحا ، فَيجْتَمِعُ إِلَيْهِ أَهْلُ النَّار فَيَقُولُونَ : يَا فُلانُ مَالَكَ ؟ أَلَمْ تَكُن تَأْمُرُ بالمَعْرُوفِ وَتَنْهَى عَنِ المُنْكَرِ ؟ فَيَقُولُ : بَلَى ، كُنْتُ آمُرُ بالمَعْرُوفِ وَلاَ آتِيه ، وَأَنْهَى عَنِ المُنْكَرِ وَآَتِيهِ »   متفق عليه


Kutoka kwa Abuu Zayd Usaamah bin Zayd bin Haarithah Radhi za Allah ziwe juu yake Amesema: Nimemsikia Mtume ﷺ akisema: [Ataletwa mtu siku ya Qiyama na atiwe motoni. Matumbo yake yatatoka nje awe akizunguka nayo kama vile anavyozunguka punda katika kinu (anapokuwa anasaga) ” Watu wa motoni watakumkusanyikia na waseme: “Ee Fulani, mbona uko hivyo ? Si uliokuwa ukituamrisha mema na kutukataza maovu?” Naye atasema: “Ndio, nilikuwa nikiamrisha mema wala sifanyi na nilikuwa nikikataza maovu na nikiyaendea]    [Imepokewa na Bukhari, Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887176
TodayToday309
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 65

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba8bcb88e819217195621782294716
title_6a3ba8bcb893711017519551782294716
title_6a3ba8bcb898313336385611782294716

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba8bcb8f3811671296301782294716
title_6a3ba8bcb8f859871176061782294716
title_6a3ba8bcb8faa19419481031782294716 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com