Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن ابنِ مسْعُودٍ رضي اللَّه عنه أَنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «مَا مِنَ نَبِيٍّ بعَثَهُ اللَّه في أُمَّةٍ قَبْلِي إِلاَّ كان لَه مِن أُمَّتِهِ حواريُّون وأَصْحَابٌ يَأْخذون بِسُنَّتِهِ ويقْتدُون بأَمْرِه، ثُمَّ إِنَّها تَخْلُفُ مِنْ بعْدِهمْ خُلُوفٌ يقُولُون مَالاَ يفْعلُونَ ، ويفْعَلُون مَالاَ يُؤْمَرون ، فَمَنْ جاهدهُم بِيَدهِ فَهُو مُؤْمِنٌ ، وَمَنْ جاهدهم بقَلْبِهِ فَهُو مُؤْمِنٌ ، ومَنْ جَاهَدهُمْ بِلِسانِهِ فَهُو مُؤْمِنٌ ، وليس وراءَ ذلِك مِن الإِيمانِ حبَّةُ خرْدلٍ »    رواه مسلم


Kutoka kwa Ibn Mas’uwd Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba: Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: [Hakuna Nabii yoyote aliyetumwa kabla yangu isipokuwa alikuwa na wenye kumnusuru (Maswahaba wanafunzi wake) katika Umma wake. na watu wenye kushika Sunna zake na kufuata amri yake. Halafu wakaja Baada yao watu wanaosema wasiyotenda na wanatenda wasiyoamrishwa; basi atakaepigana nao kwa mkono wake mtu huyo ni Mumini  (wa kweli) na mwenye kupigana nao kwa Moyo wake  huyo ni Muumini, na mwenye kupigana nao kwa Ulimi wake huyo ni Muumini, na wala hakuna baada ya hapo chembe ya Imani mfano wa punje ya haradali ]     [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668233
TodayToday7996
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 332

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f5c1e83819339236111777434460
title_69f17f5c1e8889811451411777434460
title_69f17f5c1e8d613615054791777434460

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f5c1ef158899682961777434460
title_69f17f5c1ef6418534376791777434460
title_69f17f5c1efb214434747481777434460 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com