Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن ابنِ مسْعُودٍ رضي اللَّه عنه أَنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «مَا مِنَ نَبِيٍّ بعَثَهُ اللَّه في أُمَّةٍ قَبْلِي إِلاَّ كان لَه مِن أُمَّتِهِ حواريُّون وأَصْحَابٌ يَأْخذون بِسُنَّتِهِ ويقْتدُون بأَمْرِه، ثُمَّ إِنَّها تَخْلُفُ مِنْ بعْدِهمْ خُلُوفٌ يقُولُون مَالاَ يفْعلُونَ ، ويفْعَلُون مَالاَ يُؤْمَرون ، فَمَنْ جاهدهُم بِيَدهِ فَهُو مُؤْمِنٌ ، وَمَنْ جاهدهم بقَلْبِهِ فَهُو مُؤْمِنٌ ، ومَنْ جَاهَدهُمْ بِلِسانِهِ فَهُو مُؤْمِنٌ ، وليس وراءَ ذلِك مِن الإِيمانِ حبَّةُ خرْدلٍ »    رواه مسلم


Kutoka kwa Ibn Mas’uwd Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba: Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: [Hakuna Nabii yoyote aliyetumwa kabla yangu isipokuwa alikuwa na wenye kumnusuru (Maswahaba wanafunzi wake) katika Umma wake. na watu wenye kushika Sunna zake na kufuata amri yake. Halafu wakaja Baada yao watu wanaosema wasiyotenda na wanatenda wasiyoamrishwa; basi atakaepigana nao kwa mkono wake mtu huyo ni Mumini  (wa kweli) na mwenye kupigana nao kwa Moyo wake  huyo ni Muumini, na mwenye kupigana nao kwa Ulimi wake huyo ni Muumini, na wala hakuna baada ya hapo chembe ya Imani mfano wa punje ya haradali ]     [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887016
TodayToday149
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 76

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b8094632368554648971782284436
title_6a3b80946328620739624951782284436
title_6a3b8094632d38132319151782284436

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b80946387a14870062781782284436
title_6a3b8094638c73284425901782284436
title_6a3b80946391312987808151782284436 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com