Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن ابنِ مسْعُودٍ رضي اللَّه عنه أَنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «مَا مِنَ نَبِيٍّ بعَثَهُ اللَّه في أُمَّةٍ قَبْلِي إِلاَّ كان لَه مِن أُمَّتِهِ حواريُّون وأَصْحَابٌ يَأْخذون بِسُنَّتِهِ ويقْتدُون بأَمْرِه، ثُمَّ إِنَّها تَخْلُفُ مِنْ بعْدِهمْ خُلُوفٌ يقُولُون مَالاَ يفْعلُونَ ، ويفْعَلُون مَالاَ يُؤْمَرون ، فَمَنْ جاهدهُم بِيَدهِ فَهُو مُؤْمِنٌ ، وَمَنْ جاهدهم بقَلْبِهِ فَهُو مُؤْمِنٌ ، ومَنْ جَاهَدهُمْ بِلِسانِهِ فَهُو مُؤْمِنٌ ، وليس وراءَ ذلِك مِن الإِيمانِ حبَّةُ خرْدلٍ »    رواه مسلم


Kutoka kwa Ibn Mas’uwd Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba: Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: [Hakuna Nabii yoyote aliyetumwa kabla yangu isipokuwa alikuwa na wenye kumnusuru (Maswahaba wanafunzi wake) katika Umma wake. na watu wenye kushika Sunna zake na kufuata amri yake. Halafu wakaja Baada yao watu wanaosema wasiyotenda na wanatenda wasiyoamrishwa; basi atakaepigana nao kwa mkono wake mtu huyo ni Mumini  (wa kweli) na mwenye kupigana nao kwa Moyo wake  huyo ni Muumini, na mwenye kupigana nao kwa Ulimi wake huyo ni Muumini, na wala hakuna baada ya hapo chembe ya Imani mfano wa punje ya haradali ]     [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6573123
TodayToday1190
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 16

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682875543552917977293671747481940
title_682875543564618697024641747481940
title_682875543575c19962741111747481940

NISHATI ZA OFISI

title_682875544287220935934171747481940
title_68287554429f810253870511747481940
title_6828755442b7213436223311747481940 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com