Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


{وقال تعالى : {فَمَاذَا بَعْدَ الْحَقِّ إِلَّا الضَّلَالُ

{وقال تعالى : {مَّا فَرَّطْنَا فِي الْكِتَابِ مِن شَيْءٍ

{وقال تعالى : {فَإِن تَنَازَعْتُمْ فِي شَيْءٍ فَرُدُّوهُ إِلَى اللَّهِ وَالرَّسُولِ

{وقال تعالى : {وَأَنَّ هَٰذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ ۖ وَلَا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَن سَبِيلِهِ

{وقال تعالى : {قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللَّهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللَّهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ

والآيات في الباب كثيرة معلومة


Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na kipo kitu gani baada ya haki, isipokuwa upotovu tu?]       [Suurat Yunus:32]

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Hatukupuuza Kitabuni kitu chochote]       [Suurat An'aam:38]

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume]      [Surat An-Nisaai:59]

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na kwa hakika hii ndiyo Njia yangu Iliyo Nyooka. Basi ifuateni, wala msifuate njia nyingine, zikakutengeni na Njia yake.]       [Suurat An'aam:153]

Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakufutieni madhambi yenu]     [Suurat Al 'Imran:31]

Na Aya katika Mlango huu ni nyingi zenye kujulikana.


شرح مقدمة الباب مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668201
TodayToday7964
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 300

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17ebe98c6310685971811777434302
title_69f17ebe98cb420199274111777434302
title_69f17ebe98d014504672471777434302

NISHATI ZA OFISI

title_69f17ebe9932512096579221777434302
title_69f17ebe9937412347968851777434302
title_69f17ebe993bf20481600021777434302 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com