Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين 


عَنْ أَبِي سعيدٍ عبدِ اللَّهِ بنِ مُغَفَّلٍ ، رضي اللَّه عنه ، قال : نَهَى رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم ، عَن الخَذْفِ وقالَ : « إِنَّهُ لا يقْتُلُ الصَّيْدَ ، ولا يَنْكَأُ الْعَدُوَّ ، وَإِنَّهُ يَفْقَأُ الْعَيْنَ ، ويَكْسِرُ السِّنَّ »    متفقٌ عليه
وفي رواية : أَنَّ قريباً لابْنِ مُغَفَّلٍ خَذَفَ ، فَنَهَاهُ وقال : إِنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم نَهَى عن الخَذْفِ وقَالَ : « إِنَّهَا لا تَصِيدُ صَيْداً » ثُمَّ عادَ فقالَ : أُحَدِّثُكَ أَن رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم ، نَهَى عَنْهُ ، ثُمَّ عُدْتَ تَخْذِفُ ،؟ لا أُكَلِّمُكَ أَبداً


Kutoka kwa Abuu Sa’yd, ‘Abdullaah bin Mughaffal Radhi za Allah ziwe juu yake Amesea Mtume  amekataza al-khadhaf’ (kurusha vijiwe kwa kutumia kidole gumba na cha shahaada) akasema: [Kwani hakiuwi windo wala hakimuuwi adui, bali hutoboa jicho na kuvunja jino tu.]   [Imepokewa na Bukhaariy na Muslim]

Na katika Riwaya nyingine ya Muslim imesema:

“Jamaa mmoja wa karibu kwa Ibn Mughaffal alifanya khadhaf. Akamkataza na akamwambia: Mtume  amekataza kitendo hiki (khadhaf), akasema: [Kwani hakiwindi windo] Kisha yule jamaa akarudia kitendo hicho. Akamwambia: Nimekuhadithia kuwa Mtume  amekataza jambo hilo kisha umerudia kitendo hicho cha khadhaf? Sitazungumza nawe kamwe!]    [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668216
TodayToday7979
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 339

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f0b200b49896796881777434379
title_69f17f0b2011b20397751951777434379
title_69f17f0b2017a941974941777434379

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f0b209db5233461891777434379
title_69f17f0b20a104259554721777434379
title_69f17f0b20a6c1717735791777434379 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com