BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن عائشةَ رضي اللَّه عنها قالت : كان رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم إذَا فَاتَتْهُ الصَّلاةُ مِنْ اللَّيْلِ مِنْ وجعٍ أَوْ غيْرِهِ ، صلَّى مِنَ النَّهَارِ ثنْتَى عشْرَةَ ركعةً »     رواه مسلم


Kutoka kwa Aisha Radhi za Allah ziwe juu yao Amesem: Alikuwa Mtume anapopitwa na Swalaah ya usiku kwa sababu ya maradhi au jambo linguine,  huswali wakati wa mchana, rakaa kumi na mbili. ]      [Imepokewa na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 
comments