Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن ابن عباس رضي اللَّه عنهما قال : بيْنما النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يَخْطُبُ إِذَا هُوَ بِرجُلٍ قَائِمٍ ، فسأَلَ عَنْهُ فَقَالُوا : أَبُو إِسْرائيلَ نَذَر أَنْ يَقُومَ فِي الشَّمْس وَلا يقْعُدَ ، ولا يستَظِلَّ ولا يتَكَلَّمَ ، ويصومَ ، فَقالَ النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « مُرُوهُ فَلْيَتَكَلَّمْ  وليقعد ولْيَستَظِلَّ ولْيُتِمَّ صوْمَهُ »    رواه البخاري


Kutoka kwa Ibnu Abbas Radhi za Allah ziwe juu yao Amesem: Mtume  alipokuwa ana khutubia, mara akamuona mtu amesimama. Akauliza kuhusu mtu huyo. Akaambiwa kuwa huyo ni Abuu Israaiyl ambaye ameweka nadhiri atasimama katika jua wala hatokaa, wala hatajikinga na kivuli, wala hatazungumza na amefunga. Basi Mtume akasema: [Mwambieni azungumze, na akae chini, na akae kivulini, na atimize Saumu yake.]     [Imepokewa na Bukhari]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7669236
TodayToday901
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 209

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19c4fb1f1213331047181777441871
title_69f19c4fb1f7412766306381777441871
title_69f19c4fb1fcf920711901777441871

NISHATI ZA OFISI

title_69f19c4fc828e14575738671777441871
title_69f19c4fc831f16044455621777441871
title_69f19c4fc83a615844747001777441871 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com