Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن ابن عباس رضي اللَّه عنهما قال : بيْنما النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يَخْطُبُ إِذَا هُوَ بِرجُلٍ قَائِمٍ ، فسأَلَ عَنْهُ فَقَالُوا : أَبُو إِسْرائيلَ نَذَر أَنْ يَقُومَ فِي الشَّمْس وَلا يقْعُدَ ، ولا يستَظِلَّ ولا يتَكَلَّمَ ، ويصومَ ، فَقالَ النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « مُرُوهُ فَلْيَتَكَلَّمْ  وليقعد ولْيَستَظِلَّ ولْيُتِمَّ صوْمَهُ »    رواه البخاري


Kutoka kwa Ibnu Abbas Radhi za Allah ziwe juu yao Amesem: Mtume  alipokuwa ana khutubia, mara akamuona mtu amesimama. Akauliza kuhusu mtu huyo. Akaambiwa kuwa huyo ni Abuu Israaiyl ambaye ameweka nadhiri atasimama katika jua wala hatokaa, wala hatajikinga na kivuli, wala hatazungumza na amefunga. Basi Mtume akasema: [Mwambieni azungumze, na akae chini, na akae kivulini, na atimize Saumu yake.]     [Imepokewa na Bukhari]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031687
TodayToday770
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 110

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d79eb2fabb16535241111787656683
title_6a8d79eb2fb0d7617968291787656683
title_6a8d79eb2fb5b3245298951787656683

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d79eb3017b6245802891787656683
title_6a8d79eb301cd6517977961787656683
title_6a8d79eb3021a2630261311787656683 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com