BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أَبِي هريرة رضي اللَّه عنْهُ عن النبي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « لَقَد رأَيْتُ رَجُلاً يَتَقَلَّبُ فِي الْجنَّةِ فِي شَجرةٍ قطَعها مِنْ ظَهْرِ الطَّريقِ كَانَتْ تُؤْذِي الْمُسلِمِينَ » . رواه مسلم

وفي رواية : « مرَّ رجُلٌ بِغُصْنِ شَجرةٍ عَلَى ظَهْرِ طرِيقٍ فَقَالَ : واللَّهِ لأُنَحِّينَّ هذا عنِ الْمسلِمِينَ لا يُؤْذِيهُمْ ، فأُدْخِلَ الْجَنَّةَ
وفي رواية لهما : « بيْنَما رجُلٌ يمْشِي بِطريقٍ وجد غُصْن شَوْكٍ علَى الطَّرِيقِ ، فأخَّرُه فشَكَر اللَّهُ لَهُ ، فغَفر لَهُ


Kutoka kwa Abuu Hurayrah  Radhi za Allah ziwe juu yake amepokea kutoka kwa Mtume  Amesema: [Kwa hakika nilimuona mtu akitembea Peponi kwa sababu ya mti alioukata katikati ya njia uliokuwa ukiwaudhi Waislaamu.]      [Imepokewa na Muslim]

Na katika Riwaya nyingine inasema: [Mtu mmoja alipita katikati ya tawi la mti uliokuwa katikati ya njia, akasema: Wa-Allaahi nitaliondoa tawi hili lisiwaudhi Waislaamu. basi Akaingizwa Peponi].

Na Riwaya nyingine ya Bukhari na Muslim imesema: [Mtu mmoja alipokuwa akitembea njiani, akakuta tawi la mti wenye miba njiani, akaliweka nyuma. Mwenyezi Mungu Akamjazi na Akamghufuria.]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 
comments