Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أَبِي هريرة رضي اللَّه عنه عن النبي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « الإِيمَانُ بِضْعٌ وَسبْعُونَ ، أوْ بِضْعٌ وَسِتُّونَ شَعْبَةً : فَأفْضلُهَا قوْلُ لاَ إلَهَ إلاَّ اللَّهُ ، وَأدْنَاهَا إمَاطَةُ الأذَى عنِ الطَّرِيقِ ، وَالحيَاءُ شُعْبةٌ مِنَ الإِيمانِ »    متفقٌ عليه


Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake amepokea kutoka kwa Mtume  Amesema: [Imani ni tanzu (matawi) sabini na kitu” au alisema: “ni tanzu (matawi) sitini na kitu, iliyo bora zaidi ni kusema: Laa Ilaaha illa-Allaah (Hapana Mola apase kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu). Na ya chini ni kuondoa takataka njiani; na hayaa ni tawi katika matawi ya Imani.]      [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887019
TodayToday152
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 46

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b810cbef0b2035143021782284556
title_6a3b810cbef5a14052898011782284556
title_6a3b810cbefa42246053551782284556

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b810cbf57a17420309281782284556
title_6a3b810cbf5c712031970951782284556
title_6a3b810cbf6123992519881782284556 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com