Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


   قال اللَّه تعالى : {فَاسْتَقِمْ كَمَا أُمِرْتَ}       هود:112

وقال تعالى :{إِنَّ الَّذِينَ قَالُوا رَبُّنَا اللَّهُ ثُمَّ اسْتَقَامُوا تَتَنَزَّلُ عَلَيْهِمُ الْمَلَائِكَةُ أَلَّا تَخَافُوا وَلَا تَحْزَنُوا وَأَبْشِرُوا بِالْجَنَّةِ الَّتِي كُنتُمْ تُوعَدُونَ  نَحْنُ أَوْلِيَاؤُكُمْ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَفِي الْآخِرَةِ ۖ وَلَكُمْ فِيهَا مَا تَشْتَهِي أَنفُسُكُمْ وَلَكُمْ فِيهَا مَا تَدَّعُونَ نُزُلًا مِّنْ غَفُورٍ رَّحِيمٍ}   فصلت:30-32

وقال اللَّه تعالى : {إِنَّ الَّذِينَ قَالُوا رَبُّنَا اللَّهُ ثُمَّ اسْتَقَامُوا فَلَا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ}   الأحقاف:13


Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Basi, simama sawa sawa kama ulivyo amrishwa,]     [Huud:112]

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Hakika walio sema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu! Kisha wakanyooka sawa, hao huwateremkia Malaika wakawaambia: Msiogope, wala msihuzunike; nanyi furahini kwa Pepo mliyo kuwa mkiahidiwa.Sisi ni vipenzi vyenu katika maisha ya dunia na katika Akhera, na humo mtapata kinacho tamaniwa na nafsi zenu, na humo mtapata mtakavyo vitaka.Ni takrima itokayo kwa Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.]      [Suuratul Fuss'ilat:30-32]

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Hakika walio sema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu; kisha wakatengenea, hawatakuwa na khofu, wala hawatahuzunika.]    [Suuratul Al Ah'qaaf:13]


 شرح مقدمة الباب مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031729
TodayToday812
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 133

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d81bef337921273185251787658686
title_6a8d81bef33c818277867081787658686
title_6a8d81bf15bac199358781787658687

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d81bf167ae18966582171787658687
title_6a8d81bf167fc17498295461787658687
title_6a8d81bf1684810039393371787658687 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com