BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


عَنْ أبي يَعْلَى شَدَّادِ بْن أَوْسٍ رضي اللَّه عنه عن النبي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «الكَيِّس مَنْ دَانَ نَفْسَهُ ، وَعَمِلَ لِما بَعْدَ الْموْتِ ، وَالْعَاجِزُ مَنْ أَتْبَعَ نَفْسَه هَواهَا ، وتمَنَّى عَلَى اللَّهِ الأماني »      رواه التِّرْمِذيُّ وقالَ حديثٌ حَسَنٌ
قال التِّرْمذيُّ وَغَيْرُهُ مِنَ الْعُلَمَاءِ : مَعْنَى « دَانَ نَفْسَه » : حَاسَبَهَا


Kutoka kwa Abii Ya'alaa Shaddad bin Aws Radhi za Allah ziwe juu yake kutoka kwa Mtume  amesema: [Mwenye akili ni anaehisabu nafsi yake na akafanya amali itakayomfaa baada ya kufa, na Ajizi (mpumbavu) ni yuke atakaefua hawaa ya nasfi yake kisha akatamani mazuri kwa Mwenyezi Mungu.]      [Imepokewa na At Tirmidhi na amesema ni Hadithi Hasan.]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 
comments