Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


عن أبي خالدٍ حكيمِ بنِ حزَامٍ . رضِيَ اللَّهُ عنه ، قال : قال رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « الْبيِّعَان بالخِيارِ ما لم يَتفرَّقا ، فإِن صدقَا وبيَّنا بوُرِك لهُما في بَيعْهِما ، وإِن كَتَما وكذَبَا مُحِقَتْ بركةُ بيْعِهِما »    متفقٌ عليه


Kutoka kwa Abuu Khaalid, Hakiym bin Hizaam Radhi za Allah ziwe juu yake amesema:  Amasema Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ : [Wenye kuuziana wapo katika khiyari kabla hawajaachana. Watakaposema kweli na wakabainisha (kasoro au upungufu wa bidhaa), watabarikiwa katika biashara yao. Na wakificha na wakasema uongo; basi itaondolewa baraka ya biashara yao.]   [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668628
TodayToday293
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 681

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f18c2dc945919107641001777437741
title_69f18c2dc94c15226715141777437741
title_69f18c2dc95117571860831777437741

NISHATI ZA OFISI

title_69f18c2dc9bf94400641471777437741
title_69f18c2dc9c4719392112011777437741
title_69f18c2dc9c9319201868691777437741 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com