Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وَعنْ أبي إِبْراهيمَ عَبْدِ اللَّه بْنِ أبي أَوْفي رضي اللَّهُ عنهمَا أَنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم في بعْضِ أَيَّامِهِ التي لَقِيَ فِيهَا الْعَدُوَّ ، انْتَظرَ حَتَّى إِذَا مَالَتِ الشَّمْسُ قَامَ فِيهمْ فَقَالَ: « يَا أَيُّهَا النَّاسُ لا تَتَمنَّوا لِقَاءَ الْعدُوِّ ، وَاسْأَلُوا اللَّه العَافِيَةَ ، فَإِذَا لقيتُموهم فاصْبرُوا ، وَاعْلَمُوا أَنَّ الْجَنَّة تَحْتَ ظِلاَلِ السُّيُوفِ » ثُمَّ قَالَ النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « اللَّهُمَّ مُنْزِلَ الْكِتَابِ وَمُجْرِيَ السَّحَابِ ، وَهَازِمَ الأَحْزابِ ، اهْزِمْهُمْ وَانْصُرْنا عَلَيْهِمْ »  متفقٌ عليه  


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Abuu Ibraahiym ‘Abdillaah bin Abiy Awfa Radhi za Allah ziwe juu yao  kwamba Mtume katika baadhi ya siku alizokutana na adui, alingoja hadi jua lilipopinduka, akasimama na akawaeleza: [Enyi watu, msitamani kukutana na adui, muombeni Mwenyezi Mungu afia (salama), na mtakapo kutana nao, subirini, na fahamuni kuwa Pepo iko chini ya vivuli vya panga.] Halafu Mtume  akaomba: [Ewe Mola Mteremsha Kitabu, Mwenye kuendesha mawingu, Mwenye kuyashinda makundi, Washinde na Utunusuru.]            [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668201
TodayToday7964
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 293

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e9c68fce8580829081777434268
title_69f17e9c6901f16938304411777434268
title_69f17e9c6906c174292281777434268

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e9c7ef1316189970461777434268
title_69f17e9c7ef7b11890424921777434268
title_69f17e9c7efdd2099984731777434268 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com