Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعَن ابْنِ مسْعُودٍ رضي اللَّه عنه أنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « إِنَّهَا سَتكُونُ بَعْدِى أَثَرَةٌ وَأُمُورٌ تُنْكِرونَها ، قَالُوا : يا رسُولَ اللَّهِ فَما تَأمرُنا ؟ قالَ : تُؤَدُّونَ الْحقَّ الَّذي عَلَيْكُمْ وتَسْألونَ اللَّه الذي لكُمْ »     متفقٌ عليه

« والأَثَرَةُ : الانفرادُ بالشيْءِ عمَّنْ لَهُ فيهِ حقٌّ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Abdullaah bin Mas’uwd Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: [Hakika baada yangu kutakuwepo ubinafsi na mambo ambayo hamtokubaliyana nayo.] Maswahaba wakauliza: “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, kwahiyo unatuamrisha tufanye nini?” Akawaambia: [Mutaitekeleza haki inayowapasa, na mumuombe Mwenyezi Mungu ambacho ni chenu.]     [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668201
TodayToday7964
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 301

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17ec398f131785267001777434307
title_69f17ec398f776812281691777434307
title_69f17ec398fdc9936983081777434307

NISHATI ZA OFISI

title_69f17ec3b012853895141777434307
title_69f17ec3b018e9749856941777434307
title_69f17ec3b01ec6274531911777434307 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com