Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وَعَنْ أَنَسٍ رَضِي اللَّهُ عَنْهُ قَالَ : مَرَّ النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم بِامْرَأَةٍ تَبْكِي عِنْدَ قَبْرٍ فَقَال : «اتَّقِي الله وَاصْبِرِي » فَقَالَتْ : إِلَيْكَ عَنِّي ، فَإِنِّكَ لَمْ تُصَبْ بمُصِيبتى، وَلَمْ تعْرفْهُ ، فَقيلَ لَها : إِنَّه النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم ، فَأَتتْ بَابَ النَّبِّي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم ، فلَمْ تَجِد عِنْدَهُ بَوَّابينَ ،فَقالتْ : لَمْ أَعْرِفْكَ ، فقالَ : « إِنَّما الصَّبْرُ عِنْدَ الصَّدْمَةِ الأولَى »    متفقٌ عليه

  وفي رواية لمُسْلمٍ : « تَبْكِي عَلَى صَبيٍّ لَهَا


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Anas Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: “Alipita Mtume ﷺ akamuona mwanamke akilia mbele ya kaburi. Akamwambia: [Mche Mwenyezi Mungu na usubiri.] Yule mwanamke akasema: “Niondokee, kwani hujapatwa na msiba kama wangu!” Wala hakumjua. Akaambiwa: Huyo alikuwa ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, akaenda hadi kwenye mlango wa Mtume  na hakuwakuta walinzi, akamwambia (Mtume ): “Nilikuwa sijakujua kama ni wewe.” Mtume  akamwambia: [Hakika subira ni mwanzo wa kupatwa na msiba.]    [Imepokewa na Bukhariy na Muslim]

Na katika Riwaya nyingine ya Muslim imesema: [Alikuwa akimlilia mwanawe.]

 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668204
TodayToday7967
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 300

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17ecc35c9020346975011777434316
title_69f17ecc35cf716717884421777434316
title_69f17ecc35d544909268831777434316

NISHATI ZA OFISI

title_69f17ecc36b5b18241199691777434316
title_69f17ecc36bb98062950121777434316
title_69f17ecc36c125064468301777434316 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com