Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


- وعنْ أَنسٍ رضِيَ الله عنْهُ قَالَ : لمَّا ثقُلَ النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم جَعَلَ يتغشَّاهُ الكرْبُ فقَالتْ فاطِمَةُ رَضِيَ الله عنْهَا : واكَرْبَ أبَتَاهُ ، فَقَالَ : « ليْسَ عَلَى أبيك كرْبٌ بعْدَ اليَوْمِ » فلمَّا مَاتَ قالَتْ : يَا أبتَاهُ أَجَابَ ربّاً دعَاهُ ، يا أبتَاهُ جنَّةُ الفِرْدَوْسِ مأوَاهُ ، يَا أَبَتَاهُ إِلَى جبْريلَ نْنعَاهُ ، فلَمَّا دُفنَ قالتْ فاطِمَةُ رَضِيَ الله عَنهَا : أطَابتْ أنفسُكُمْ أَنْ تَحْثُوا عَلَى رسُول الله صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم التُّرابَ ؟     روَاهُ البُخاريُّ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Anas bin Maalik Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Amesema Mtume : alipozidiwa Mtume na uchungu wa Mauti akawa anapata shida (kwa sababu ya uchungu), Faatimah Radhi za Allah ziwe juu yake  akasema: “Ee uchungu gani unaomshika baba yangu.” Mtume akasema: [Hatopata tena shida Baba yako baada ya leo.] Alipofariki (Mtume ) Faatimah Radhi za Allah ziwe juu yake akasema: “Ewe baba yangu ameitika wito wa Mola wako! Ewe baba yangu Jannah ya Al-Firdaws ndio mashukio yako. Ewe baba yangu! Kwa Jibril tunamuombeleza!” Na Alipozikwa, Fatwima alisema: [Nyoyo zenu zimeridhika kwa kumiminia mchanga Mtume wa Mwneyezi Mungu ?]     [Imepokewa na Bukhari]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6572819
TodayToday886
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68286382749378692651121747477378
title_6828638274a4220362196191747477378
title_6828638274b426343787961747477378

NISHATI ZA OFISI

title_6828638274dff6971915361747477378
title_6828638274f014896166871747477378
title_6828638274ffe17821415011747477378 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com