Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


- وعنْ أَنسٍ رضِيَ الله عنْهُ قَالَ : لمَّا ثقُلَ النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم جَعَلَ يتغشَّاهُ الكرْبُ فقَالتْ فاطِمَةُ رَضِيَ الله عنْهَا : واكَرْبَ أبَتَاهُ ، فَقَالَ : « ليْسَ عَلَى أبيك كرْبٌ بعْدَ اليَوْمِ » فلمَّا مَاتَ قالَتْ : يَا أبتَاهُ أَجَابَ ربّاً دعَاهُ ، يا أبتَاهُ جنَّةُ الفِرْدَوْسِ مأوَاهُ ، يَا أَبَتَاهُ إِلَى جبْريلَ نْنعَاهُ ، فلَمَّا دُفنَ قالتْ فاطِمَةُ رَضِيَ الله عَنهَا : أطَابتْ أنفسُكُمْ أَنْ تَحْثُوا عَلَى رسُول الله صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم التُّرابَ ؟     روَاهُ البُخاريُّ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Anas bin Maalik Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Amesema Mtume : alipozidiwa Mtume na uchungu wa Mauti akawa anapata shida (kwa sababu ya uchungu), Faatimah Radhi za Allah ziwe juu yake  akasema: “Ee uchungu gani unaomshika baba yangu.” Mtume akasema: [Hatopata tena shida Baba yako baada ya leo.] Alipofariki (Mtume ) Faatimah Radhi za Allah ziwe juu yake akasema: “Ewe baba yangu ameitika wito wa Mola wako! Ewe baba yangu Jannah ya Al-Firdaws ndio mashukio yako. Ewe baba yangu! Kwa Jibril tunamuombeleza!” Na Alipozikwa, Fatwima alisema: [Nyoyo zenu zimeridhika kwa kumiminia mchanga Mtume wa Mwneyezi Mungu ?]     [Imepokewa na Bukhari]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668216
TodayToday904
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 28

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866c3ba3e4368108646021751565242
title_6866c3ba3e5191005288951751565242
title_6866c3ba3e5fe17506873571751565242

NISHATI ZA OFISI

title_6866c3ba3fb8c5599417081751565242
title_6866c3ba3fc674604115651751565242
title_6866c3ba3fd2d17614835831751565242 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com