BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعَنْ أبي عَبْدِ الرَّحْمن عَبْدِ اللَّهِ بن عُمرَ بن الخطَّاب رضي الله عنهما عن النَّبيِّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال: «إِنَّ الله عزَّ وجَلَّ يقْبَلُ توْبة العبْدِ مَالَم يُغرْغرِ» رواه الترمذي وقال: حديث حسنٌ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Abuu Abdir-Rahmaan, Abdullaah bin Umar bin Al-Khattwaab Radhi za Allah ziwe juu kwamba Mtume wa Mwenyezi Munguamesema: [Hakika Mwenyezi Mungu ﷻ Huikubali Tawba ya mja madamu roho yake haijafika kooni.]   [Imepkewa na At-Tirmidhiy na amesema: Hadiyth hii ni Hasan]


 
comments