Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعن أبي مُوسى عَبْدِ اللَّهِ بنِ قَيْسٍ الأَشْعَرِيِّ ، رضِي الله عنه ، عن النَّبِيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال: « إِن الله تعالى يبْسُطُ يدهُ بِاللَّيْلِ ليتُوب مُسيءُ النَّهَارِ وَيبْسُطُ يَدهُ بالنَّهَارِ ليَتُوبَ مُسِيءُ اللَّيْلِ حتَّى تَطْلُعَ الشَّمْسُ مِن مغْرِبِها »   رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu Musa, Abdullaah bin Qays Al-Ash’ariyy Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume amesema: [Mwenyezi Mungu Hunyoosha Mkono Wake usiku ili apate kumsamehe alie mkosea mchana, na Hunyoosha mkono wake mchana ili apate kumsamehe alie mkosea usiku, (hali hiyo huendelea) mpaka jua lichomozapo upande wa magharibi]      [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887010
TodayToday143
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 89

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7f9f0c49213688427121782284191
title_6a3b7f9f0c4e19271533861782284191
title_6a3b7f9f0c52c8136705591782284191

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7f9f0caff10420706301782284191
title_6a3b7f9f0cb4c17859229961782284191
title_6a3b7f9f0cb9720984174381782284191 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com