Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعن أبي مُوسى عَبْدِ اللَّهِ بنِ قَيْسٍ الأَشْعَرِيِّ ، رضِي الله عنه ، عن النَّبِيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال: « إِن الله تعالى يبْسُطُ يدهُ بِاللَّيْلِ ليتُوب مُسيءُ النَّهَارِ وَيبْسُطُ يَدهُ بالنَّهَارِ ليَتُوبَ مُسِيءُ اللَّيْلِ حتَّى تَطْلُعَ الشَّمْسُ مِن مغْرِبِها »   رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu Musa, Abdullaah bin Qays Al-Ash’ariyy Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume amesema: [Mwenyezi Mungu Hunyoosha Mkono Wake usiku ili apate kumsamehe alie mkosea mchana, na Hunyoosha mkono wake mchana ili apate kumsamehe alie mkosea usiku, (hali hiyo huendelea) mpaka jua lichomozapo upande wa magharibi]      [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887163
TodayToday296
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 48

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba6895e89e7221087801782294153
title_6a3ba6895e8ec12529000951782294153
title_6a3ba6895e93818489399031782294153

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba6895f04013911927701782294153
title_6a3ba6895f08e16907252131782294153
title_6a3ba6895f0d914893547221782294153 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com