Menu

الحديث الأول


 Annawawiy1


عن عبدالله بن عمرو بن العاص - رضي الله عنهما - قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: "فمَن أحَب أن يُزحزَح عن النار ويدخل الجنة، فلتأتِه منيَّتُه وهو يؤمن بالله واليوم الآخر، وليأتِ إلى الناس الذي يحب أن يؤتى إليه"؛      رواه مسلم

 


MPOKEZI WA HADITHI


Abdullah bin Amr bin Al-As ni mwana wa Amr bin al-Aas kutoka ukoo wa Quraysh, na mama yake ni Raita binti Minbah kutoka ukoo wa Banu Sahm. Alizaliwa Makkah mwaka wa 7 kabla ya hijra ya Mtume Muhammad (). Alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili tu kati yake na baba yake Amr bin al-Aas (aliyekufa mwaka wa 43H). Jina lake la utani ni Abu Muhammad. Alikubali Uislamu kabla ya baba yake, na alikuwa anaitwa Al-Aas kulingana na jina la babu yake, lakini Nabii Muhammad () alimwita Abdullah. Alikulia katika familia yenye hali nzuri na ilihusika na biashara ya kimataifa, na pia alikuwa na ujuzi katika lugha ya Syriac.

Alifariki nchini Misri wakati wa fitina ya Marwan bin al-Hakam mwaka wa 65H,


MAANA YA HADITHI


Kutoka kwa Abdullah bin Amr bin Al-As - Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao - alisema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu - (Rehema na amani ziwe juu yake)  "Anapenda kuepushwa na moto, na kuingia peponi, Basi na amjie mauti yake hali yakuwa anamuamini Menyezi na kuamini Siku ya Mwisho, na awatendee watu yale anayopenda atendewe na watu"  [Imepokelewa  na Muslim].


SIKILIZA SHEREHE YA HADITHI NA SHEIKH MAHAMAD RAJAB 



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031730
TodayToday813
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 137

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d81ccda6b69036233951787658700
title_6a8d81ccda7147663259591787658700
title_6a8d81ccda77021245991961787658700

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d81ccdaf2420159700161787658700
title_6a8d81ccdaf833181431931787658700
title_6a8d81ccdafe4687261301787658700 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com